cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mapenzi ni zaidi ya mikazo, hata ukinikaza nikakazika then una tabia zako chafu, matusi, dharau na hauna heshima kukupenda ngumu sanaHapa naona mnamaanisha kwamba unachotaka ni mikazo tu sio pesa
Unafaa sana Nina kibanda kimoja
Utanikubali? No way haiwezekani