Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Diamond alivyompata Mimi Mars ni kama watu wanaonunua bidhaa online na kuletewa wanapoishi!

Status
Not open for further replies.
Anarusha kipindi tu huyo, wanawake wote wa mjini wanataka wanaume wenye hela. Kwa privacy huyu anaitwa kwenye private boat ya dollar 1200 tu. Anapangwa Don Fumbwe amlete anafatwa na dereva wa V8 alipo huko na analetwa.

Yani analika vizuri tu asikuchosheni, hamna mwanamke wa kichaga asiyependa pesa au mwanaume mwenye life. Tena anaweza chilwa na asipewe hata sumni akatulia zake just for fame

Hata huyo mimi mars alikataa kuwa hawez gongwa na wasanii ila ndio hao hao wanamchilla
Comment ya kibabe sana hii
 
Comment ya kibabe sana hii
yellow eyes Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa Nina urafiki wa kawaida na huyo mwanamke alikuwa ana maneno ya busara alikuwa mtu ambaye anaonekana sio mtu ambaye anapenda hela kupitia maneno yake kiasi ambacho nikavutiwa nae alikuwa anapigo kama za huyo cariha ila baada ya kuwa na uhusiano nae alinipiga vizinga mpaka nikajiuliza ndio huyu kweli? Tokea hapo nikajua asikuambie mtu mapenzi Ni pesa hayo maneno ya cariha yasikusumbue hiyo Ni technic tu wanaotumia Hawa dada zetu kukamata wanaume.
Extrovert
 
I can kabisa Yani he is not the type of guy I prefer frankly speaking I know people won't believe it
We nae umetuchosha na neno lako "type" type, type, we kwa mfano una nini cha ziada kuwazidi wanawake wengine, we utabaki kuwa mwanamke tu na wanawake wote n dhaifu, umkatae mondi wewe?

Sema chance ya kukufikia wewe ni ndogo mno, almost negligible, una umaarufu gani wewe mjini had useme mond hana hela, rubbish kabisa, acha wenzio wafaidi kama type yako ni kama kina gwajboy etc bas kausha usitufokee!!
 
yellow eyes Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa Nina urafiki wa kawaida na huyo mwanamke alikuwa ana maneno ya busara alikuwa mtu ambaye anaonekana sio mtu ambaye anapenda hela kupitia maneno yake kiasi ambacho nikavutiwa nae alikuwa anapigo kama za huyo cariha ila baada ya kuwa na uhusiano nae alinipiga visinga mpaka nikajiuliza ndio huyu kweli? Tokea hapo nikajua asikuambie mtu mapenzi Ni pesa hayo maneno ya cariha yasikusumbue hiyo Ni technic tu wanaotumia Hawa dada zetu kukamata wanaume.
Extrovert
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hatari mzeee, hata Mimi nimeona huyo demu anajihami tu maana ukute hata probability ya kuwa na mond almost zero
 
Ukiwa na helaa huwezi jisumbua kumpenda mwanamke huo unakuwa wajibu wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila sasa kama huna helaa ooho utajuta mbona
Ukiwa hauna pesa kwanza unakuwa limited kwenye kuchagua wanawake tofauti na mtu mwenye mapene
 
Diamond Hana hela yoyote huyo labda umaarufu na Mimi ni tofauti na hao wanawake wengine, to me fame or money sometime sio my priority,most hupenda kufanya Mambo ninayojiskia na sio kuwa influenced na kitu flani,kitu kinachonipa furaha ndio nafanya failure to do so I can't my dear, honestly speaking
Dada yangu Kila mtu ana bei yake, hakuna asiyenunulika
 
We nae umetuchosha na neno lako "type" type, type, we kwa mfano una nini cha ziada kuwazidi wanawake wengine, we utabaki kuwa mwanamke tu na wanawake wote n dhaifu, umkatae mondi wewe?

Sema chance ya kukufikia wewe ni ndogo mno, almost negligible, una umaarufu gani wewe mjini had useme mond hana hela, rubbish kabisa, acha wenzio wafaidi kama type yako ni kama kina gwajboy etc bas kausha usitufokee!!

Hiki kidemu ni kibaya jamani hakana chochote trust me ukiona hata picha yake unaweza tapika. Hakana nuru kembamba sasa ukiona comment zake humu aseeeeee.
 
Diamond sio hadhi yangu kwa kweli namwona mjingajinga hivi flani pia Mimi staki umaarufu wa uzinifu yeye aendelee na hao kina mobeto ndio hadhi yake kwa kweli how can I date a tandale boy, mimi napenda wanaume timamu kichwani so diamond is not my type

Wewe ungekuwa mzuri humu tusinge pumua na ulivyo bado unasema Mondi sio type yako?? Wewe unamzidi nini Zari au Mobetto SMH...
humu wasiokujua ndio wanakuona pini kumbe umechakaaa.
 
Wewe ungekuwa mzuri humu tusinge pumua na ulivyo bado unasema Mondi sio type yako?? Wewe unamzidi nini Zari au Mobetto SMH...
humu wasiokujua ndio wanakuona pini kumbe umechakaaa.
diddy95 wanawake wenye sura mbaya ndivyo walivyo kupitia comment za huyu dada nikajua tu atakuwa ana sura mbaya kumbe kweli mzee bidada Hana nuru?
 
Binafsi huyo Domo hata wanaume waishe wote humu duniani tubaki wawili mi na yeye simtaki

Na simtaki kwa pesa yake na simtaki pia kwa mwonekano wake

Labda over my dead body

Wanaume wanadhani kila mwanamke humu duniani akiona mwanaume ana hela ana shoboka which is totally wrong, wanawake wengine sio washamba wa hela jamani[emoji848]
Talk is cheap
 
yellow eyes Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa Nina urafiki wa kawaida na huyo mwanamke alikuwa ana maneno ya busara alikuwa mtu ambaye anaonekana sio mtu ambaye anapenda hela kupitia maneno yake kiasi ambacho nikavutiwa nae alikuwa anapigo kama za huyo cariha ila baada ya kuwa na uhusiano nae alinipiga vizinga mpaka nikajiuliza ndio huyu kweli? Tokea hapo nikajua asikuambie mtu mapenzi Ni pesa hayo maneno ya cariha yasikusumbue hiyo Ni technic tu wanaotumia Hawa dada zetu kukamata wanaume.
Extrovert
Huyo mtoto ni mangi, swala ka kupenda hela liko damuni😁🤣😂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom