radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,411
- 6,473
Ukiwa na pesa nyingi sana automatically unakuwa maarufuKweli mzee plus umaarufu.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na pesa nyingi sana automatically unakuwa maarufuKweli mzee plus umaarufu.
Mimi ni mzuri in my own ways na kwa nafasi yangu, yes diamond is not my type kabisa hyo nitasema bilions of time, Mimi zari kanizidi umri, watoto na anaishi south africa ni dada yangu kiumri actually na Mimi Kuna vitu vingi pia nimemzidi huyo mobetoo hata nisiongee labda umaarufu na kuzaa na wanaume tofauti na kutoa mtandao pendwa ndio kanizidi, mengine mengi nimemzidi so relax,Wewe ungekuwa mzuri humu tusinge pumua na ulivyo bado unasema Mondi sio type yako?? Wewe unamzidi nini Zari au Mobetto SMH...
humu wasiokujua ndio wanakuona pini kumbe umechakaaa.
Hahaaa mumeshindwa hoja mumekimbilia matusi sasa Kuna shida gani kuandika ninachoamini, kwa taarifa yenu ukoo mzima hamna mwanke smart Kama mimi hyo ya ubaya ni defense mechanism yenu haitabadilisha msimamo wangu kwa ninachoamini so msijisumbua kuniita sijui mubaya kisa ninachokiamini mnajisumbua kenge nyiediddy95 wanawake wenye sura mbaya ndivyo walivyo kupitia comment za huyu dada nikajua tu atakuwa ana sura mbaya kumbe kweli mzee bidada Hana nuru?
Hahaaa uongo wangu una daganya ili iweje umeshindwa hoja for ur information sio mwembba nimejaliwa neema za Allah, na shape nzuri sijisifii kabisa inshort nimeumbika kuliko ukoo wenu acha kudaganya humu JF,hoja ijibiwe kwa hojaHiki kidemu ni kibaya jamani hakana chochote trust me ukiona hata picha yake unaweza tapika. Hakana nuru kembamba sasa ukiona comment zake humu aseeeeee.
Siwezi date a tandale boy my dear he is not my type[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hatari mzeee, hata Mimi nimeona huyo demu anajihami tu maana ukute hata probability ya kuwa na mond almost zero
Haters are everywheredemu wa kawaida mno huyu kiufupi siyo level za mondi kabisa
Wewe mwanaharamu nikome unawashwa si bure nikiandika type unawashwa nini nitaandika hata Mara bilions huna Cha kunifanya na huninunulii bundle la kuandika so usinipamgie kunguru wewe, ungekuwa timamu unfejua watu hutofautiana vipaumbele unge chill na ku relax na aliyekwambia Mimi napenda umaarufu Nani, anifikie ili iweje acha ujinga wewe tena ukome kuni quote na kuandika utopolo wako mind ur bussiness, ka wewe unataka kumpa diamond kijambio kamupe na jifunze kuelewa mawazo ya wengine. Na hyo dhaifu ni papuchi iliyozaa tahira ka weweWe nae umetuchosha na neno lako "type" type, type, we kwa mfano una nini cha ziada kuwazidi wanawake wengine, we utabaki kuwa mwanamke tu na wanawake wote n dhaifu, umkatae mondi wewe?
Sema chance ya kukufikia wewe ni ndogo mno, almost negligible, una umaarufu gani wewe mjini had useme mond hana hela, rubbish kabisa, acha wenzio wafaidi kama type yako ni kama kina gwajboy etc bas kausha usitufokee!!
Usipende kunufananisha na hao wanawake wako wajinga aisee, for ur information I'm independent woman, najishughulisha na sijawahi omba hela kwa mtu yoyote so hyo uko wrong kabisa mfano wako wa kitotoyellow eyes Kuna mwanamke mmoja hivi nilikuwa Nina urafiki wa kawaida na huyo mwanamke alikuwa ana maneno ya busara alikuwa mtu ambaye anaonekana sio mtu ambaye anapenda hela kupitia maneno yake kiasi ambacho nikavutiwa nae alikuwa anapigo kama za huyo cariha ila baada ya kuwa na uhusiano nae alinipiga vizinga mpaka nikajiuliza ndio huyu kweli? Tokea hapo nikajua asikuambie mtu mapenzi Ni pesa hayo maneno ya cariha yasikusumbue hiyo Ni technic tu wanaotumia Hawa dada zetu kukamata wanaume.
Extrovert
[emoji23][emoji23][emoji23] good morningHata hujaniambia nimekosea ila [emoji7][emoji7][emoji7]ngoja tutaendelea kesho pumzika kwanza mY WTB
Mmmmmmhmn, mchagga au mpare yule?!Mchaga kapenda akaona asijivunge si unajua labda akawa yeye
Si Bora Zari Ali target kitu flani na alifaidika na diamond kuanzia kupiga endorsement za kutosha, kanunuliwa na nyumba na diamond alijua Zari bilionea kumbe hola, kachuma zake hela za kutosha na kapata umaarufu ndio alikuwa anataka, sasa kina tanasha, mobetto nini wamekipata woooiHuyo Diamond kapigwa chini na wanawake wengi sema watu hawasemi.
Hata Zari alikuwa na mission yake na aliijamilisha.
Alimdanganya Diamond kwamba Afrika Kusini wamepanga, jamaa akanunua jumba halafu ndio imetoka hiyo [emoji134][emoji134][emoji134]
Kuna wanawake unaona kabisa Diamond aliwataka wakakataa akiwemo LULU.
Hata huyo demu anajishughulisha ila vizinga havikauki kunipiga.Usipende kunufananisha na hao wanawake wako wajinga aisee, for ur information I'm independent woman, najishughulisha na sijawahi omba hela kwa mtu yoyote so hyo uko wrong kabisa mfano wako wa kitoto
Sijasoma comments lakini kama ndivyo walivyosema kua kila mwanamke wa bongo anamtaka Diamond wamekosea sana,Acheni kumuattack Cariha, yeye ameelezea msimamo wake kuwa siyo kweli kwamba kila mwanamke wa bongo anatamani kutoka na Diamond, madai hayo siyo kweli , na ameelezea kwa nini siyo kweli , sasa badala ya kumjibu kwa hoja naona mmeanza kumshambulia yeye binafsi kuwa ana sura ya hivi na vile mara mwembamba , hang’ai n.k
Nani anataka Mwanaume cha wote?!
Sasa nawauliza huo ubaya wake mnaupimaje?
Acheni mfumo dume wa kuwa embarrassing wanawake !
Mtakeni radhi !
Huyo zari kashapigwa miti mpaka kazalishwa kwa Lulu Sina uhakika Wala ninachokijuaHuyo Diamond kapigwa chini na wanawake wengi sema watu hawasemi.
Hata Zari alikuwa na mission yake na aliijamilisha.
Alimdanganya Diamond kwamba Afrika Kusini wamepanga, jamaa akanunua jumba halafu ndio imetoka hiyo 🙆🙆🙆
Kuna wanawake unaona kabisa Diamond aliwataka wakakataa akiwemo LULU.
Shida mastaa wetu shule ndogo wema was famous Sana,had kazeeka Hana mbele Wala nyuma mafanikio yake kajikondesha kawa skeleton baada ya madanga na umaarufu kuisha, wanahitaji kuchukua somo kwa zariWanawake wa kibongo wao wanachotaka ni umaarufu, kutambiana mabwana na kukomesha wambeya.
Huyo Wema katumikaaa, ana nini sasa hivi ?
Hapo unatamani ungekuwa wewe!Wanaji rahisisha Sana kwa huyo domo aisee siajabu Mimi Mars alivo tahira na yeye atamubebea mimba
Wewe umenielewa vizuri na culture hapo juu, watu lazima waelewe binadamu tumetofautiana vipaumbele even taste Sasa nashangaa watu Wana ni attack bure.Exactly.
Mimi nakubaliana wewe na cariha na mifano ipo.
Mb Doggy aliwahi kuwa kwenye Peak kubwa mnoooo, na akawa anamtaka Nancy Sumary anamtungia mpaka nyimbo [emoji1][emoji1].
Ila mdada hakuwa hata na mapenzi naye.
Dah katoto kazuri balaa aiseeeeNAWATAFUNA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1582037View attachment 1582038
Huyo ndio chombo Cha CEO
Kumbe unasapoti udangaji alafu unasema sitaki helaShida mastaa wetu shule ndogo wema was famous Sana,had kazeeka Hana mbele Wala nyuma mafanikio yake kajikondesha kawa skeleton baada ya madanga na umaarufu kuisha, wanahitaji kuchukua somo kwa zari
Mimi naishi version yangu na script yangu siishi chini ya viatu vya wengine au jamii inachotaka and that's me, na sijawahi tamani kuwa ka watu wengine, I'm unique in my own ways dear.Hapo unatamani ungekuwa wewe!