Diamond amefikisha followers mil 7 leo

Diamond amefikisha followers mil 7 leo

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi baada ya kuwa maarufu Sana Tanzania.Msanii huyo hiv karibuni alikaa mwaka mzima bila kutoa wimbo ila Sasa amesha achia ngoma mbili inama na the one zinafanya vizuri ndani na nje ya nchi na kumuongezea wigo wa mashabiki.
 
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi baada ya kuwa maarufu Sana Tanzania.Msanii huyo hiv karibuni alikaa mwaka mzima bila kutoa wimbo ila Sasa amesha achia ngoma mbili inama na the one zinafanya vizuri ndani na nje ya nchi na kumuongezea wigo wa mashabiki.

Ndugu,
Unafaidika na nini huyo bwana kufikisha hawa follower..?
 
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi baada ya kuwa maarufu Sana Tanzania.Msanii huyo hiv karibuni alikaa mwaka mzima bila kutoa wimbo ila Sasa amesha achia ngoma mbili inama na the one zinafanya vizuri ndani na nje ya nchi na kumuongezea wigo wa mashabiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili zetu anajua Mungu tu.
 
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi baada ya kuwa maarufu Sana Tanzania.Msanii huyo hiv karibuni alikaa mwaka mzima bila kutoa wimbo ila Sasa amesha achia ngoma mbili inama na the one zinafanya vizuri ndani na nje ya nchi na kumuongezea wigo wa mashabiki.
Yani unaacha shughuli zako unaandika kitu kama hiki kweli?aisee wabongo kutoka kimaisha ni kazi sana
 
Hiki kitendo cha kuwapangia watu mida ya kunywa bia zao ni cha kikatili sana. Hii inaonyesha jinsi gani serikali hii isivyojali shida za wananchi wake
 
Chaajabu nini kwa mtu kama mtajwa hapo juu?!!

Basi asante kwa taarifa!
 
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi baada ya kuwa maarufu Sana Tanzania.Msanii huyo hiv karibuni alikaa mwaka mzima bila kutoa wimbo ila Sasa amesha achia ngoma mbili inama na the one zinafanya vizuri ndani na nje ya nchi na kumuongezea wigo wa mashabiki.
So what? Akili za namna hii ndio maana kuna mawaziri wanatukanwa wapumbavu na wanakenua meno tu!
Sijui nani katuloga aisee...
 
Back
Top Bottom