Hiyo ni roho ya kuzimu ikemee,ununahakika gani ni ghost? Kuboresha maisha ya familia take sio jambo zuri ? Mamilioni aliyomtibia yule dada china?Misaada aliyomwaga mbagala na tandale angekuwa teja huko ndo ungempenda? ,mungu amlinde Huyu na awasaidie wanaohangaika wengine watoboe
Milioni 55 tu. NI Watanzania wote. Pamoja na weweMagufuli anafollower wangapi??
LuciferMilioni 55 tu. NI Watanzania wote. Pamoja na wewe
Wewe je?Mawaziri wake, msigwa, wBunge wa ccm, na wakurugenzi na wote waliopewa vyeo ni followers wake[emoji3][emoji3]
Wife material huyoMmoja tu, Bashite.
Wamekuongezea ugali wa watoto wako nyumbani??CR7 ana followers 171, siyo 160...
Pambana na hali yako ndugu, matatizo yako usiyalete JF...Wamekuongezea ugali wa watoto wako nyumbani??
kwa hii taarifa!
Obssession!Magufuli anafollower wangapi??
Huyo ni celebrity hakuna tatizo kuandikwa humu, kwanini kila jambo mnalijadili kwa hasiraSo what? Akili za namna hii ndio maana kuna mawaziri wanatukanwa wapumbavu na wanakenua meno tu!
Sijui nani katuloga aisee...
Huku ni celebrities forum, kama unataka kutoka kimaisha nenda jukwaa la ajira ukatafute kaziYani unaacha shughuli zako unaandika kitu kama hiki kweli?aisee wabongo kutoka kimaisha ni kazi sana
Ni watu wachache ambao hawana ufahamu kwanini majukwaa yako tofautiPambana na hali yako ndugu, matatizo yako usiyalete JF...
Ni kati ya akili za kipumbavu.simaanishi jukwa mimi,natazama fikra mbovu za mtuHuku ni celebrities forum, kama unataka kutoka kimaisha nenda jukwaa la ajira ukatafute kazi
Fikra mbovu inatoka wapi wakati kilichoandikwa ni cha kweli na jukwaa ndio lenyeweNi kati ya akili za kipumbavu.simaanishi jukwa mimi,natazama fikra mbovu za mtu
Hilo ndiyo jibu patheticObssession!
SimooWewe je?
Uje na cheti cha kuzaliwa cha bibi yako kuthibitisha uraia wakoSimoo