Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Mkuu wewe sema Una mahaba tu na diamond unasemaje Diamond ndio kawavutia wakati hata kabla yake kuna watu walishafanya video nje ya nchi hao nao nani aliwavutia
hvy mkuu awali umeweka video ya mac muga kwenye mfano wa video za sauz naona hata hujui tunachodiscuss. hapa tunazungumzia video zenye viwango vya juu zinazopenya na kutangaza wasanii had nje ya mipaka, dem wako alisuka twende kilioni juzi s.africa wangu kaset nywele s.africa nani atapendeza?