Diamond ameonesha njia

Diamond ameonesha njia

yutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
1,668
Reaction score
1,017
Wimbi la wasanii wetu ku-shoot video nje ya nchi (S.A) linaongezeka kwa kasi sana toka Diamond afungue njia na wimbo wa Number 1

Ndani ya mwezi mmoja nimeshuhudia video zaidi ya kumi kwenye runinga na nyingine zaidi ya hizo zikiwa mbioni kutoka ikiwamo ya mwana'd.

Shime kwao na wasiishie tu kutoa video bora bali wajitahidi na maudhui yawe mazuri katika nyimbo zao.
 
alianza AY lakini ndiyo hivyo diamond ni kama apple na brand yao ya iphone hata kama wengine walianza, akifanya yeye utasikia ndiye wa kwanza.
 
Aliyeanza kufanya Video nje ya nchi na hasa South Africa ni AY unaikumbuka ile nyimbo ya Party Zone?? Hivi hiyo na Number one imetangulia kutoka? Mr Blue pia alishawahi kufanyia Video S.A kitambo Ray C alishawahi kufanya Video China kitambo sana kabla hata diamond hajatoa Kamwambie Mac Mugan ya Ally Kiba kama sikosei nayo imefanyiwa nje ya nchi nadhani ni nyimbo nyingi video zake zimefanyika nje ya nchi kabla ya hiyo no1 AY nadhani ana video zaidi ya 3
 
Aliyeanza kufanya Video nje ya nchi na hasa South Africa ni AY unaikumbuka ile nyimbo ya Party Zone?? Hivi hiyo na Number one imetangulia kutoka? Mr Blue pia alishawahi kufanyia Video S.A kitambo Ray C alishawahi kufanya Video China kitambo sana kabla hata diamond hajatoa Kamwambie Mac Mugan ya Ally Kiba kama sikosei nayo imefanyiwa nje ya nchi nadhani ni nyimbo nyingi video zake zimefanyika nje ya nchi kabla ya hiyo no1 AY nadhani ana video zaidi ya 3

wengi walishashoot video nje ila tu ni kwamba video za diamond ndio zimechochea wasanii wengi kuanza kushoot video nje mana kupitia diamond wamejionea wenyewe kwamba video za nje si mchezo ukijipanga , by the way hao wote uliowataja walishut nje ila video zao bado hazikuhamasisha wasanii kushut nje
 
mtoa mada acha kulazimisha watu kumtaja dimond cjui...!
sema wewe huujui mziki bwana
wangeshoot vp na walikuwa hawaujui mziki, ina maana mafanikio ya kina AY yametoka na nyimbo za dimond...!
dimond my foot...!
 
wengi walishashoot video nje ila tu ni kwamba video za diamond ndio zimechochea wasanii wengi kuanza kushoot video nje mana kupitia diamond wamejionea wenyewe kwamba video za nje si mchezo ukijipanga , by the way hao wote uliowataja walishut nje ila video zao bado hazikuhamasisha wasanii kushut nje

Nyimbo za AY ndio zilizomfanya pengine hata diamond afikirie kushoot video nje ya nchi we huchelewi kusema diamond ndio kafungua njia wanamziki wa Kitanzania kufanya kolabo na wasanii wa nje (Nigeria)
 
Nyimbo za AY ndio zilizomfanya pengine hata diamond afikirie kushoot video nje ya nchi we huchelewi kusema diamond ndio kafungua njia wanamziki wa Kitanzania kufanya kolabo na wasanii wa nje (Nigeria)

nyimbo ya ay party zone haikubamba mkuu nyimbo za huyu jamaa.kama number one ile shooting ni next level kitu kilichofanya wasanii wa tz kuvutiwa kwenda kushut video nje ,vitu vingine havina haja ya ubishi
 
nyimbo ya ay party zone haikubamba mkuu nyimbo za huyu jamaa.kama number one ile shooting ni next level kitu kilichofanya wasanii wa tz kuvutiwa kwenda kushut video nje ,vitu vingine havina haja ya ubishi

Mkuu wewe sema Una mahaba tu na diamond unasemaje Diamond ndio kawavutia wakati hata kabla yake kuna watu walishafanya video nje ya nchi hao nao nani aliwavutia
 
Aliyeanza kufanya Video nje ya nchi na hasa South Africa ni AY unaikumbuka ile nyimbo ya Party Zone?? Hivi hiyo na Number one imetangulia kutoka? Mr Blue pia alishawahi kufanyia Video S.A kitambo Ray C alishawahi kufanya Video China kitambo sana kabla hata diamond hajatoa Kamwambie Mac Mugan ya Ally Kiba kama sikosei nayo imefanyiwa nje ya nchi nadhani ni nyimbo nyingi video zake zimefanyika nje ya nchi kabla ya hiyo no1 AY nadhani ana video zaidi ya 3

walitoa zikaenda wapi, hapa tunaongelea video iliyotikisa dunia my no one na ndio maana kumbukumbu zetu zinaanzia hapo .
 
Mkuu wewe sema Una mahaba tu na diamond unasemaje Diamond ndio kawavutia wakati hata kabla yake kuna watu walishafanya video nje ya nchi hao nao nani aliwavutia

ni kweli wapo waliofanya kabla yake lakini hazikuhamasisha hataaa, ndio maana hatukumbuki
 
mtoa mada acha kulazimisha watu kumtaja dimond cjui...!
sema wewe huujui mziki bwana
wangeshoot vp na walikuwa hawaujui mziki, ina maana mafanikio ya kina AY yametoka na nyimbo za dimond...!
dimond my foot...!

hahahahahahah na ndio ushamtaja sasa, inaudhieee???
 
Back
Top Bottom