Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
CCM kama domo vile hehehehehehe
Wewe ni chama gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni chama gani?
Me Sina chama chochote Cha siasaCCM kama domo vile hehehehehehe
Me Sina chama chochote Cha siasa
Alisafishiwa na vijana wahuni wa Mwanjelwa,hakuna mtu mwenye akili timamu mtu mzima anayehangaika na DaimondoMsanii ngwiji wa kimataifa kutoka Tanzania Jana alipata mapokezi makubwa mkoani mbeya ikiwemo kusafishiwa Barabara wakati gari lake linanapita na wanambeya Kama vile ni Raisi na shangwe kubwa wakiimba Simba Simba pamoja na kuimba wimbo baba lao kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
NB: binafsi nimefuraishwa na hili tukio maana tumekuwa tunayaona haya kwa nchi za wenzetu hasa wasanii wa Marekani Sana.Hii inaonesha jinsi gani watanzania wanapenda mziki wetu sana
#Musicstartathome
Unataka kuniambia hata wale waliomsafishia Lowassa Barabara nao hawana akili timamu?Alisafishiwa na vijana wahuni wa Mwanjelwa,hakuna mtu mwenye akili timamu mtu mzima anayehangaika na Daimondo
Sugu anamlaza na Viatu huyu MamaSijajua ni sh ngapi kalipwa ila yule ni mwanasiasa lazima atumie ushawishi wa mondi kuteka hisia za wanambeya ili achukue Jimbo.Nimeona pia alimkaribisha mondi nyumbani kwake na wakafanya Kama tafrija fulani hivi
🤛🤛💪💪👊💪 mnyamakaEti wamemuita Gwamaka.
SUGU AMKIMBIA DR. TULIA MBEYA.Domo keshaanza siasa chafu aiseee misukule yake yote naikaribisha CCM. CCM oyeeeeee huu ndo mwendo wa team domo kuanzia mwakani.
Show ilikua mbovu sana
Tulia dawa ikuingie.
Numbisa vp umeshapata ticket ya kwenda kesho kigoma maana habari ya mjini ipo ukoTulia dawa ikuingie.
Numbisa vp umeshapata ticket ya kwenda kesho kigoma maana habari ya mjini ipo uko
Show ya kigoma itakuwa classic na pia ndo ya kufunga mwaka Kama ile aliyofanya Kenya kwenye uzinduzi wa a boy from tandale album cos itakuwa kuwa ni live band kwahiyo hayo masuala ya mikono juu itakuwa haipo.Bora nishindie michembe kuliko kupoteza muda wa kuambiwa kuruka,kunyoosha mikono juu
Show ya kigoma itakuwa classic na pia ndo ya kufunga mwaka Kama ile aliyofanya Kenya kwenye uzinduzi wa a boy from tandale album cos itakuwa kuwa ni live band kwahiyo hayo masuala ya mikono juu itakuwa haipo.
Hapo umeongea kwa chuki mondi kwenye live band yupo vizuri sana ana sauti tamu alafu anajua kucontrol sauti kupanda na kushuka pia kukaa kwenye key na kubadilisha sauti kwenye same performance hata master Jay alimuambia live band anaijua vizuri tatizo lake lipo kwenye pay back anaimbaga nje ya key.Domo hawezi live band. Hio ya kenya ilikua floppy balaa
Fanya nawew mkuu tuoneUkitoa buku mbili kwa kila kijana na mafuta ya buku mbili kila bodaboda wanakusafishia na kusindikiza msafara, usishangae ni sehemu ya usanii.
Hapo umeongea kwa chuki mondi kwenye live band yupo vizuri sana ana sauti tamu alafu anajua kucontrol sauti kupanda na kushuka pia kukaa kwenye key na kubadilisha sauti kwenye same performance hata master Jay alimuambia live band anaijua vizuri tatizo lake lipo kwenye pay back anaimbaga nje ya key.