- Thread starter
- #41
Master Jay ni mtaalamu wa muziki anaujua mziki kuliko wear ni producer was mziki na kawatoa wasanii wengi kupitia utengenezaji wake wa nyimbo nzuri mfano watu mandojo na domokay, lady Jay Dee,z Anton n.kKwan master jay ndo nani eti akisema jambo lipigiwe makofi pheeew. Hajui live band anawadanganya tu wabongo. Tafuta live band ujioneee wataalamu acha kusifia sifia visivyosifika