DIAMOND ametuonyesha watanzania kuwa anaheshimika na wasanii wenzake Africa

Wizkid mwenyewe ambaye dunia nzima inamtambua anajua umuhimu wa simba afu eti wasanii wa bongo ambao wamezidiwa vyote wanamuonea wivu diamond hvi ni vichekesho kwa kweli
Una uhakika kawazidi vyote??ungejua MO anadaiwa 500 billions
 
Kazi nzuri hongera sana mond, show nilikubali maana wasanii wetu wa miaka ya 2000+ walipotezwa ila tumeona wengine wapo hai kabisa na nguvu
 
Mmojawapo ni Alikiba ana roho ya kwanini sana huyu jamaa
 
Wizkid hajatoka Nigeria kuja Dsm kupiga show bure!.. Hakuna heshima yoyote ni Business Motive!.
Hata wewe ukiwa na mpunga mrefu unaweza mualika Drake aimbe kwenye birthday yako. MONEY TALK!...

Karibu Mjini!.
 
siku atakayomsaidia babake atoke kwny ufukara wa kutupwa ndo ntaamini kua mafaniko yake ni juhudi zake binafsi na sio nguvu za "wajenzihuru" kwa kumfanya babake ndondocha!...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
siku atakayomsaidia babake atoke kwny ufukara wa kutupwa ndo ntaamini kua mafaniko yake ni juhudi zake binafsi na sio nguvu za "wajenzihuru" kwa kumfanya babake ndondocha!...[emoji23][emoji23][emoji23]
Kamsaidie baba yako kwanza mambo ya baba yake huyajui kaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…