Ila mademu wa uswahilini mna taabu sana. Hasira za maisha magumu mnazihamishia kwa ma staa wa bongo.Nyoo mwanaizaya mbwa wa makaburin wewe ebu usinite shombo, ntakuchamba Ukoo wenu wote mbuzi wewe
Hivi huyu Diamond si ndio alisema hawezi kumtunza baba yake kisa alimuacha bila malezi,sasa na yeye anafanya nini kwa watoto wake...?
Njaa tupu. Masikini utamjua kwa mawazo, matendo na akili yake. Nakuona una mawazo na matendo ya kifukara.Wewe usioupenda umaskin humu inafanya nini ? Mwenzio Niko established sina njaa kama wewe ndio maana nime relax , sasa wewe usiyependa kufuatilia maisha ya watu humu unafany nn mxieew njaa unazo wewe
Hamjazuiwa kuwazungumzia hao maceleb wenu lkn tatizo ni mnawazungumzia katika angle ipi? Inawasaidia nini nyie na vizazi vyenu? Haya ni majungu na si kingine.Huku celebrities forum ulitegemea kuzungumziwe maisha ya ngedere?
tuanaomba muwe wavumilivu na watulivu, tutawataarifu yanayojiri baada ya kikao.Diamond hapaswi kumfananisha Zari na Misa katika hilo.
Misa hana cha kuumia kwa sababu tangu mwanzo alijua zari yupo na akaenda kujiingiza.
Zari alidanganywa kwamba yupo peke yake, akapoteza muda wake, nguvu zake na pesa zake. Akatukanwa akaitwa majina ya dharau lakini akavumilia tuu kubaki na Dai.
Sasa anategemea after kuachana reaction zao ziwe sawa?. Afanye mambo ya msingi aache kuongelea Ex (s) zake kila anapotoa nyimbo.
Celeb forum haichagui angle, iwe kusifu, kulaumu etc zote twende... Huipendi ya kuponda, subiri ya kusifu na kinyume chake... Anyway, utamu wa maisha upo kwenye tofauti zetu.... Imajini wote TUNGEKUWA na madaraka ya JPM, pangekalika?Hamjazuiwa kuwazungumzia hao maceleb wenu lkn tatizo ni mnawazungumzia katika angle ipi? Inawasaidia nini nyie na vizazi vyenu? Haya ni majungu na si kingine.
Ubongo wa hawa unfortunate forks ushaingiwa na virus.Hamjazuiwa kuwazungumzia hao maceleb wenu lkn tatizo ni mnawazungumzia katika angle ipi? Inawasaidia nini nyie na vizazi vyenu? Haya ni majungu na si kingine.
Kwani MANGE KASEMAJI Kuhusu Hili?Ila domo hawezag kufanya enterview bila kumzungumzia Zari , hivi una akili timamu kweli ? Mtu umezaa nae watoto wawili, kutwa kumdhalilisha kwenye media , na wewe Zari Ndo ukome kuzaa na watoto wa Tandale, Ivan hajawah hata siku moja kumuongelea Vibaya Zari
Yan domo halinaga break , hajui maswali yap ya kujibu yap ya kuacha, Kwan ukisema tu no comment itakuaje? Wewe si Ndo uliachwa ukawa unaenda South kuomba msamaha wewe? , Zari Ana damu zako, hyo ku move on unayozungumzia wakuambiwa ni kina wema sepetu ambao hujazaa nao, mtu hujui watoto wako wanaishi vip, huend kuwasalimia, unategemea Zari atajisikia poa? Tatizo sio kuachana, Tatizo watoto , kutuma pesa sio malezi mbwa wewe, kaone watoto wako
usijali dada utapona tu domophobia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We naye saa zote bize na maisha ya watu, hivi unapataga hata muda wa kutawaza ukijisaidia?
Ila domo hawezag kufanya enterview bila kumzungumzia Zari , hivi una akili timamu kweli ? Mtu umezaa nae watoto wawili, kutwa kumdhalilisha kwenye media , na wewe Zari Ndo ukome kuzaa na watoto wa Tandale, Ivan hajawah hata siku moja kumuongelea Vibaya Zari
Yan domo halinaga break , hajui maswali yap ya kujibu yap ya kuacha, Kwan ukisema tu no comment itakuaje? Wewe si Ndo uliachwa ukawa unaenda South kuomba msamaha wewe? , Zari Ana damu zako, hyo ku move on unayozungumzia wakuambiwa ni kina wema sepetu ambao hujazaa nao, mtu hujui watoto wako wanaishi vip, huend kuwasalimia, unategemea Zari atajisikia poa? Tatizo sio kuachana, Tatizo watoto , kutuma pesa sio malezi mbwa wewe, kaone watoto wako
Siku zote nilijua wewe ni mwanaume kumbe ni mwanamke basi vizuriNa wewe unapat wapi muda wa kusoma umbea kama sio jobless kama Mimi ? Kwanza wewe utakua shoga tu au serengeti boy, wanaume wa kweli wapo kazin sasa hvi wanafanya Kazi , umbea tuachie wanawake mxieew mbwa wewe