Diamond hapaswi kumfananisha Zari na Misa katika hilo.
Misa hana cha kuumia kwa sababu tangu mwanzo alijua zari yupo na akaenda kujiingiza.
Zari alidanganywa kwamba yupo peke yake, akapoteza muda wake, nguvu zake na pesa zake. Akatukanwa akaitwa majina ya dharau lakini akavumilia tuu kubaki na Dai.
Sasa anategemea after kuachana reaction zao ziwe sawa?. Afanye mambo ya msingi aache kuongelea Ex (s) zake kila anapotoa nyimbo.
Misa hana cha kuumia kwa sababu tangu mwanzo alijua zari yupo na akaenda kujiingiza.
Zari alidanganywa kwamba yupo peke yake, akapoteza muda wake, nguvu zake na pesa zake. Akatukanwa akaitwa majina ya dharau lakini akavumilia tuu kubaki na Dai.
Sasa anategemea after kuachana reaction zao ziwe sawa?. Afanye mambo ya msingi aache kuongelea Ex (s) zake kila anapotoa nyimbo.