Haja move kitendo cha kumbloki ni ubabaifu,mondi hamtaki Zari anampiga matukio tuu!!!Bidada kutwa kuringisha hawara mpya!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ni ubabaifu mkubwa mnoooAmove on kivip? Kwan Zari alishawhi mpigia simu diamond ? Hivi kati y Zari na diamond Nani haja move on? Diamond is dating tanasha, hvi haon anamfanya mpenz wake ajisikie inferior towards Zari , kila Siku interview ni Zari tu khaa[emoji23][emoji23][emoji23], mwanamke na nyota zake bhana, muachen Zari
Huyo Zari anavyotangaza life lake insta ,maisha yako insta?!!!huyo Zari maisha yake yote insta na mnamsifia mshawahi kutana nae in real life hata siku mmoja!Sasa Kwani what is insta? [emoji23][emoji23], so siku hzi malezi ya watoto yapo insta binamu? Khaa Leo umenivunja mbavu... well just tell your cousin to stop mentioning Zari kwenye interview zake bhana , tell him to move on ... unajua how Zari feels right now ? Kuwa diamond is not diamond without her , Kwa nini asiongelee kuhus tanasha and his coming mtoto? Coz she doesn’t Kiki eeh?
If you have moved on , you no longer have to talk about your ex , in whichever way yan , yan unapotezea mazima yan kama hujawah mdate huyo mtu , ila ndugu yenu hawez kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ndio binamu, hutaki.......muacheWe naye saa zote bize na maisha ya watu, hivi unapataga hata muda wa kutawaza ukijisaidia?
Leo ndio nimejua kuwa ni wa kike, nimemuacha. Siku zote nilijua ni mwanaume.Huyu ndio binamu, hutaki.......muache
We umefata maisha yako humu?We naye saa zote bize na maisha ya watu, hivi unapataga hata muda wa kutawaza ukijisaidia?
Haja move kitendo cha kumbloki ni ubabaifu,mondi hamtaki Zari anampiga matukio tuu!!!Bidada kutwa kuringisha hawara mpya!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ni ubabaifu mkubwa mnooo
Sawa binamu,huku tunaingia wapenda mambo ya mjini ,au nimuunge jukwaa la dini?Nipo sip champagne [emoji898], akikujibu niite binamu[emoji23]