Diamond amfumua zari , amwambia amuige hamisa ku move on ...

Diamond amfumua zari , amwambia amuige hamisa ku move on ...

Amove on kivip? Kwan Zari alishawhi mpigia simu diamond ? Hivi kati y Zari na diamond Nani haja move on? Diamond is dating tanasha, hvi haon anamfanya mpenz wake ajisikie inferior towards Zari , kila Siku interview ni Zari tu khaa[emoji23][emoji23][emoji23], mwanamke na nyota zake bhana, muachen Zari
Haja move kitendo cha kumbloki ni ubabaifu,mondi hamtaki Zari anampiga matukio tuu!!!Bidada kutwa kuringisha hawara mpya!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ni ubabaifu mkubwa mnooo
 
Sasa Kwani what is insta? [emoji23][emoji23], so siku hzi malezi ya watoto yapo insta binamu? Khaa Leo umenivunja mbavu... well just tell your cousin to stop mentioning Zari kwenye interview zake bhana , tell him to move on ... unajua how Zari feels right now ? Kuwa diamond is not diamond without her , Kwa nini asiongelee kuhus tanasha and his coming mtoto? Coz she doesn’t Kiki eeh?

If you have moved on , you no longer have to talk about your ex , in whichever way yan , yan unapotezea mazima yan kama hujawah mdate huyo mtu , ila ndugu yenu hawez kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo Zari anavyotangaza life lake insta ,maisha yako insta?!!!huyo Zari maisha yake yote insta na mnamsifia mshawahi kutana nae in real life hata siku mmoja!
Jikaze binamu bwanaa
 
Haja move kitendo cha kumbloki ni ubabaifu,mondi hamtaki Zari anampiga matukio tuu!!!Bidada kutwa kuringisha hawara mpya!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ni ubabaifu mkubwa mnooo

Ila yeye kumtaja taja Ndo ka move on ? Apambane na tanasha nyota ya bundi, aachane na Zari , hatutoi Kiki Mwaka huu
 
Back
Top Bottom