Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
jenga hoja,acha upupu matusi pia nayajua sema nini nakukaushia tu..Mjinga kweli we, hizo hela zinakuja zenyewe TU bila akili.
Kimsingi mtu huwezi kujua kila kitu. Si dhambi. Unataka kusema diamond yuko sahihi kwa kila kitu? Hapana.
Punguza mahaba ya kike kwa mwanaume mwenzio.
Povu ruksa, sabuni iwe Ariel, ndiyo kali.
Mleta mada "Anakalia," lazima amwage sifa na makopa.Jabali la muziki wa Africa almaaluf Diamond Platnumz
Toka lini Diamond kawa jabari la muziki afrika??
Unajua,maana ya neno jabali kweli??
Diamond ndio giant kwa sasa AfricaJabali la muziki wa Africa almaaluf Diamond Platnumz
Toka lini Diamond kawa jabari la muziki afrika??
Unajua,maana ya neno jabali kweli??
Stress za namna hii zinakuwaga za kupigwa na maisha.Mleta mada "Anakalia," lazima amwage sifa na makopa.
Hivi kwa akili yako ya kawaida na wewe umeamini kabisa hilo andiko ni la "mtoto wa Tandale"? Ukiwa na Pesa siku zote utaonekana una akili hata ukiwa kilaza....kwani wenye akili wote lazima watakuwa watumwa wakoNdio maana Msukuma anawadharau sana wasomi!
Ona huyu Diamond na elimu yake ya form ya kufeli lakini ona hizo nondo alizotoa hapo juu na mihela hiyo anayopiga!
Mjinga kweli we, hizo hela zinakuja zenyewe TU bila akili.
Kimsingi mtu huwezi kujua kila kitu. Si dhambi. Unataka kusema diamond yuko sahihi kwa kila kitu? Hapana.
Punguza mahaba ya kike kwa mwanaume mwenzio.
Povu ruksa, sabuni iwe Ariel, ndiyo kali.
Wawili..Nitakuwa wa mwisho kuamini hii pesa imetokana na nyimbo moja ya waaah
Mkuu umenikumbusha.Majizzo ni mweupe sana..Sema mtu akishakuwa na hela kiasi wabongo huwa tunaheshimu tu,maana kutengeneza pesa nako ni akili labda isiwe halali.
Ashakujaga na kiresearch chake uchwara cha kupika kuwa redio yake inaongoza kwa market share ya 50pc kwa dar na pwani lakini haijulikani ni nani wamefanya tafiti,wakati geopoll tafiti zao zinawarenk nafasi ya nne..msanii sana huyu jamaa
Kakalie KITU🤣🤣🤣Stress za namna hii zinakuwaga za kupigwa na maisha.
Muziki mkubwa.Kwa lipi alilofanya hadi awe kwenye hiyo level??
Upi??
Shule ulienda kukua?? Au najadili mada na mtu, shabiki fata upepo!
Amekupa ushahidi au hujasoma mzee?Nitakuwa wa mwisho kuamini hii pesa imetokana na nyimbo moja ya waaah
Baada ya Majizo kuandaa press conference kwenye media yake na kushambulia wasanii wanao trend mitandaoni na wanaopata views nyingi, akisema ukali wa msanii haupimwi kwa views au trending.
Jabali la muziki wa Africa almaaluf Diamond Platnumz amempa elimu ya bure Majizo umuhimu wa views na trends kwa msanii.
View attachment 1759531
View attachment 1759530
View attachment 1759529
Ni kweli maana ameambatanisha screenshot ya Creator Studio, yenye kuonesha kiasi hicho kwa USD.Nitakuwa wa mwisho kuamini hii pesa imetokana na nyimbo moja ya waaah
Ndio maana Msukuma anawadharau sana wasomi!
Ona huyu Diamond na elimu yake ya form ya kufeli lakini ona hizo nondo alizotoa hapo juu na mihela hiyo anayopiga!