Diamond amjibu Majizo ”kiutu uzima”

Diamond amjibu Majizo ”kiutu uzima”

"Distribution sales" ndiyo nini? Kama ni Youtube kumlipa pesa kulingana na total views za music video, hapo hakuna distribution/usambazaji wala sales/mauzo. Bali ni mapato kutokana na idadi ya watazamaji. Algorithm ya Youtube ndiyo inaamua alipwe kiasi gani kulingana na idadi ya watazamaji. Hamna cha mauzo wala usambazaji zaidi ya kubandika music video Youtube na kusubiri algorithm ifanya kazi yake.
 
Mkuu nami naomba namba ya Mondi ili niwe views wa stutas zake whatsapp niibox mkuu usiweke hapa
 
Yule mapuuzi ni timu kondeboy hivo sishangai kuropoka ule uharo wake yaani anataka kutufanya sisi watanzania ni washamba kiasi hicho sio buana tunafaham sana umihimu na faida za platform za online hasa YouTube unalipa sana na kama ww ni msani mkubwa lazima utambe na youtube pia
 
Diamond hajasoma sema ana-analyse mambo kisomi...hii ndio maana halisi ya akili kubwa... Usomi sio kujaza maPhD na kuongea mapumba matupu yasiyowasaidia vijana wenzako
Mkuu watu wengi hasa watz wamesoma kimadarasa au vyuo lakini kichwani ni sifuri kabisaa wengine ni maprofesa kabisaa kusoma na kuelimika tuone utifauti wako msomi na asiye msomi sasa kama huna tofaut na darasa la7 huku umesoma hilo ni tatizo kubwa
 
Watz ni nani alituroga!??? Mbona tunatia kinyaa kama sio kichefuchefu mbona hatuheshimu vya kwetu hivi Diamond Platnumz tunamuona ni mtu mdogo na wakawaida!??? Kuna nchi wanamshim na kumpenda na kumtamani angekuwa raia wa nchi yao sisi tuna mzodoa na sio kwa mond tu na wengine pia tuache ujina huu tumpe sifa anazostahili sio tuanze kumsifia akiwa amekufa sio vizur kabisaa.. Mungu atupe nn jmn au gunia la chawa!????
 
Na kwa taarifa yenu hio ni kwa nyimbo zake tu bado kweny chanel ya media zake yaani tv na radio ambao inaenda kwa jina la "Wasafi media" huko youtube wansrusha live kila kipindi cha radio yaani namuona mond anakili sana hasa ya kujua namna ya kujipatia pesa kweny platform hivi za online. Big up sana kwake
 
Nilimsikiliza Majizo nikacheka sana! Apunguze ujuaji na kutaka Uruge. Ruge tumekuja kujua ni master mind wa mambo mengi ambayo alikuwa nyuma ya pazia kwa miaka kibao na si kujifanya mjuaji tu.
 
Ebu kasikilize vizuri interview yake alafu uone kama ninamsingizia
Nimemsikiliza, jamaa anaonesha ana uelewa mdogo sana. Mbaya zaidi, ni pale Gerald Hando na yeye aliposema kwamba wanamuziki wa US hawategemei YouTube wakati alichoshindwa kufahamu sio kwamba hawategemei YouTube bali Wanamuziki wa Western wameshindwa competition na YouTubers wa sekta zingine za burudani! Kwa mfano, wapo wanaopiga zaidi ya USD 20 Million kwa mwaka! Hakuna mwanamuziki wa US anayeweza kudharau pesa kama hiyo bali wanashindwa tu kufikia hicho kiwango lakini YouTubers wengine wanafikia!

Kibongobongo na Afrika kwa ujumla, hakuna contents za kushindana na muziki kama ilivyo kwa mataifa ya magharibi; na kwahiyo bado YouTube naweza kusema ndio main source of income kuliko streaming platform zingine ambazo wanaonufaika nazo ni wale tu wenye mashabiki nje ya mipaka ya nchi zao, na hususani nje ya Afrika.
 
Majizo kauotea???? Hiv unajua ze way jamaa kahangaika??
Usibabaike na story wanazotengeneza watu baada ya kufanikiwa, hata wewe ukitajirika unaweza kutuambia kuwa ulianzia kuuza karanga, Ili tuamini kuwa ume hustle.
 
Back
Top Bottom