warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Hakuna ethics
Ila huyo jamaa mpana ana wivu utafikiri K anaitafuna yeye
Halfu kamfuat kule kule insta kampa makavu ana moyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna ethics
Ila huyo jamaa mpana ana wivu utafikiri K anaitafuna yeye
Ndomo na yeye hatak kusafir na mama ubaya maana anajua atakosa viburudisho uko majuu, dah wote wamekutana uko chini sijui kuna ----- hawawez kuvituliza ivo vi tuntuni vyao
ukiwa mbahili mademu wazuri utaishia kuita shemeji
daimond mbahili sana baas tu!
Labda anaongea kutokana na uzoefu wake
Mbahili ila mama yake kamnunulia gari, dada yake esma kamfungulia duka la maana, wema anachezewa tu maskni
ukiwa mbahili mademu wazuri utaishia kuita shemeji
daimond mbahili sana baas tu!
Mbahili ila mama yake kamnunulia gari, dada yake esma kamfungulia duka la maana, wema anachezewa tu maskni
Hahongi lakini ni maarufu wanawake hupenda wanaume maarufu
ndugu zake
yule hawara tu!
Ngoja nikavae pensi na 'saa sita utanikoma' nije uwanjani....
aliyekul pesa ya dai peny
Ukiwa na hela utafukunyua girlfrend za watu mpaka utakoma.
Labda anaongea kutokana na uzoefu wake
Huyo Maulid ni mchokonoko huko insta... kuna siku alizinguana na Nargis Mohamed kama sikosei... atakuwa kaona kule ujumbe haujafika vizuri akaamua kuuleta Jf