Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 872
Mwenzangu kufur gari la mil 38, wakat hayo magar ni mil 25 , amnunulie wapi na wewe? We ukishaona uwepo wa babu tale na ndomo bas we jua hamna kitu apo, mi sina hamu walichomfanyia marehemu gurumo had leo kadi ya gari hajapata, yani gar atoe ndomo kadi akae nayo ruge, kweli wanatuweza
ha ha mi mwenyewe nimeshangaa kwa ujanja wao wa kuficha namba....
hiyo gari kwa bei hiyo wanawapanga watu then inaonekana ya kitambo tu....
nakumbuka ile land cruiser V8 teh teh teh
wana kazi Sana hapo mjini
Mkuu hiyo bei wanapanga kuwatisha wa2 ile v8 inauzwa kitambo 100m mpka 90m nlitumiwa picha na dalali mmoja wa dar
Halafu wameficha namba ili Kama wameazima isijulikane
Utoto na ujinga unawasumbua hiyo hela angemjengea nyumba mama yake ndio heshima.akili yke kma ya mcheza vigodoro wema
Ha ha hivi nawe umeamini hiyo gari wamenunua?
hongera kwa diamond ila sitaki kuja kusikia chifu kalichukua
Najua ni changa la macho ila sifa zina mwisho wake
Wengine wanahaingikia kula wengine wanatafuta sifa
Halafu wameficha namba ili Kama wameazima isijulikane
Mimi sina uhakika sana kama kweli kamnunulia hiyo gari, na hata kama kamnunulia anataka tu kumuua mama yake, ananikumbusha jiran yangu, yeye hata gari kuendesha alikuwa hajui vizur kakimbilia kununua kluger ilichomfanya hana hamu tena na magari.
Sina uhakika sana kama mama yetu ni dereva, na hata kama akiwa dereva sidhan kama atakuwa ni wa kiwango cha hivyo, unajua mama dai ni mtu mzima na magar ndo hivyo tena wamebarikiwa kipindi hichi sasa kuanza kumkabidhi mama wa watu gari kama harrier lexus sidhan kama anamtakia mema mama yake, angenunua tu gari dogo la chini vya wanawake kama ist,passo au vits new model yan unaendesha vizur taratibu, sasa anampa hilo limzigo mmh
Jamani hawajaficha no mbona blog zingine mf Sinta,nuru nk number zinaonekana aliyeleta hii habari ndio kachagua hiyo picha ambayo no hazionekani .
Mmh huyo ndomo nae sasa kazid, sasa kumpa mama yetu harrier lexus ndo nn? Si angemnunulia hata ist au passo ziko vizur mbona , harrier zile kubwa na sio nzur kwa mtu ambaye hana uzoefu na kuendesha magari, huyu anataka kumuua mama yake kama kwel kamnunulia, labda kama atampa na dereva ila raha ya gar uendeshe wewe bhana