Diamond amnunulia mama yake gari la mil.38

Diamond amnunulia mama yake gari la mil.38

Mwenzangu kufur gari la mil 38, wakat hayo magar ni mil 25 , amnunulie wapi na wewe? We ukishaona uwepo wa babu tale na ndomo bas we jua hamna kitu apo, mi sina hamu walichomfanyia marehemu gurumo had leo kadi ya gari hajapata, yani gar atoe ndomo kadi akae nayo ruge, kweli wanatuweza

Binamu hyo gari bei ni 28 mpka 30m halafu akanunue gari hlo wakti hiyo hela inatosha kumjengea mama yke nyumba,hpo wote wanafikiria kwa makalio halafu namuona mzee wa vigodoro na team yake
 
ha ha mi mwenyewe nimeshangaa kwa ujanja wao wa kuficha namba....

hiyo gari kwa bei hiyo wanawapanga watu then inaonekana ya kitambo tu....

nakumbuka ile land cruiser V8 teh teh teh

wana kazi Sana hapo mjini

Mkuu hiyo bei wanapanga kuwatisha wa2 ile v8 inauzwa kitambo 100m mpka 90m nlitumiwa picha na dalali mmoja wa dar
 
ha ha mi mwenyewe nimeshangaa kwa ujanja wao wa kuficha namba....

hiyo gari kwa bei hiyo wanawapanga watu then inaonekana ya kitambo tu....

nakumbuka ile land cruiser V8 teh teh teh

wana kazi Sana hapo mjini

1404817122801.jpg
 
hongera kwa diamond ila sitaki kuja kusikia chifu kalichukua
 
Kumbe miaka yote mpaka anatoa zawadi kwa yule mzee mama alikuwa bado tu
Wauza sembe wanamatatizo kweli!
 
Halafu wameficha namba ili Kama wameazima isijulikane

Jamani hawajaficha no mbona blog zingine mf Sinta,nuru nk number zinaonekana aliyeleta hii habari ndio kachagua hiyo picha ambayo no hazionekani .
 
Mbwa thamani ya verossa,gariii milion 38 ,hizo pesa si bora wamalizie nyumba zao waishii bila kupangaaa,hapo hamna kitu ni matopee tuuu
 
Kwanini asijenge nyumba badala ya hilo gari?/
 
mmh watu mna wivu wengine hamjawahi kuwanunulia mama zetu hata kitenge cha wax fake lakini mnavyokandia .angalieni WIVU ukizidi mtakuwa wachawi maana mtamchukia mtu halafu anazidi kusonga mbele sasa mtaanza kuangahika kumloga.
 
Mimi sina uhakika sana kama kweli kamnunulia hiyo gari, na hata kama kamnunulia anataka tu kumuua mama yake, ananikumbusha jiran yangu, yeye hata gari kuendesha alikuwa hajui vizur kakimbilia kununua kluger ilichomfanya hana hamu tena na magari.

Sina uhakika sana kama mama yetu ni dereva, na hata kama akiwa dereva sidhan kama atakuwa ni wa kiwango cha hivyo, unajua mama dai ni mtu mzima na magar ndo hivyo tena wamebarikiwa kipindi hichi sasa kuanza kumkabidhi mama wa watu gari kama harrier lexus sidhan kama anamtakia mema mama yake, angenunua tu gari dogo la chini vya wanawake kama ist,passo au vits new model yan unaendesha vizur taratibu, sasa anampa hilo limzigo mmh

Hata mi siamini binamu toka wema atudanganye ile nyumba ni yakee siwaamini hata kidogoo
 
Jamani hawajaficha no mbona blog zingine mf Sinta,nuru nk number zinaonekana aliyeleta hii habari ndio kachagua hiyo picha ambayo no hazionekani .

MMh wewe binamu una bifu na mleta mada tu huna lolote, yani unaaanisha kwa jinsi nilivyokuwa hater had nimechagua picha ambayo haina plate number ili watu waongee ,Kweli binamu leo umeniweza, ahsante
 
Mmh huyo ndomo nae sasa kazid, sasa kumpa mama yetu harrier lexus ndo nn? Si angemnunulia hata ist au passo ziko vizur mbona , harrier zile kubwa na sio nzur kwa mtu ambaye hana uzoefu na kuendesha magari, huyu anataka kumuua mama yake kama kwel kamnunulia, labda kama atampa na dereva ila raha ya gar uendeshe wewe bhana

Wabongo kwa kuponda.sasa angemnunulia vits mngeponda.kamtafta gari la hadhi mamake mnaponda.yaaan kuna watu kichefchef.
 
Back
Top Bottom