Mbwa thamani ya verossa,gariii milion 38 ,hizo pesa si bora wamalizie nyumba zao waishii bila kupangaaa,hapo hamna kitu ni matopee tuuu
MMh wewe binamu una bifu na mleta mada tu huna lolote, yani unaaanisha kwa jinsi nilivyokuwa hater had nimechagua picha ambayo haina plate number ili watu waongee ,Kweli binamu leo umeniweza, ahsante[/QUOTE
Sijashangaa najua umeleta hiyo pic makusudi ili watu waseme kaazima lakini kijana kajitahidi kumtoa mama jamani anastahili pongezi.
Jamani hawajaficha no mbona blog zingine mf Sinta,nuru nk number zinaonekana aliyeleta hii habari ndio kachagua hiyo picha ambayo no hazionekani .
Wanatuchekesha tu apa, sasa mama sanura jamani na lexus wapi na wapi?? Mmh kweli ndomo anayeweza yule kijana
Ivi binamu unajua hiyo lexus ambayo inadaiwa ya mama ndomo inafanana na ya mama ubaya ile aliyomnunilia kaka clement? Yan mama ubaya atakuwa ana wivu yeye birthday yake kapewa saa tu na hata vits hajanunilia apa ndomo anawatafutia bifu tu mtu na mkwewe
Kwahiyo zingine utepe hamna?
MMh wewe binamu una bifu na mleta mada tu huna lolote, yani unaaanisha kwa jinsi nilivyokuwa hater had nimechagua picha ambayo haina plate number ili watu waongee ,Kweli binamu leo umeniweza, ahsante[/QUOTE
Sijashangaa najua umeleta hiyo pic makusudi ili watu waseme kaazima lakini kijana kajitahidi kumtoa mama jamani anastahili pongezi.
Kwa hiyo wewe umeamini kwa kuwa ni diamond? Angekuwa davido ungebisha hadi hasubuhi , mmm binamu kazi unayo maana kila kitu ukisikia kizur kuhusu ndomo haraka haraka.
Zimepigwa kwa mbele utepe haujafika no inaonekana.
Kwa hiyo wewe umeamini kwa kuwa ni diamond? Angekuwa davido ungebisha hadi hasubuhi , mmm binamu kazi unayo maana kila kitu ukisikia kizur kuhusu ndomo haraka haraka.
Kwa Davido hapo umeamua kuchomekea najua unamaanisha nini,na wewe ingekuwa kwa mama nyoka ungeshangilia na kupongeza sana.
mmh watu mna wivu wengine hamjawahi kuwanunulia mama zetu hata kitenge cha wax fake lakini mnavyokandia .angalieni WIVU ukizidi mtakuwa wachawi maana mtamchukia mtu halafu anazidi kusonga mbele sasa mtaanza kuangahika kumloga.
Tatizo boss wako muongo sana, katupiga changa la macho kanunua v8 mashauz kibao kumbe kahongwa, inshort ni muongo muongo ndo maana haaminiki, ndo maana hilo gari hatuna imani nalo kama kanunua yeye au ndo la papaa musofe kampa auzie sura
Watu wananunua magar ya mil200 wapo kimya akina kantupeni sisi sasa gari la mil 2 tena la kuhongwa hayo makerere sasa, yani wabongo tupo nyuma kweli, anunue buggat ndo aweke kwenye ma blogs watu tushangae
Kwa Davido hapo umeamua kuchomekea najua unamaanisha nini,na wewe ingekuwa kwa mama nyoka ungeshangilia na kupongeza sana.
Weee umenipandisha mashetani, Mama nyoka habar nyingine wewe, ana push RANGE ROVER evoque yule, Yule hana maneno mengi yeye ni Action tu sio huyo ndomo, akiota kanunua ndege bas yeye anatangaza anatak nunua ndege, inshort boss wako hamuwez jide labda kwa collabo na kaka davido ila ndomo mchumba tu kwa jide
Kuhusu nyumba,mbona alishamjengea mama yake cku nyingi jmn!kuwa na data kabla humjaongea jmn!
Weee umenipandisha mashetani, Mama nyoka habar nyingine wewe, ana push RANGE ROVER evoque yule, Yule hana maneno mengi yeye ni Action tu sio huyo ndomo, akiota kanunua ndege bas yeye anatangaza anatak nunua ndege, inshort boss wako hamuwez jide labda kwa collabo na kaka davido ila ndomo mchumba tu kwa jide
Lakini mama nyoka naye yakwake aliweka akaficha number.,mmh
Picha ya hiyo nyumba tafadhaliiiii yaaan wanavyoweka kila kitu kwenye media hiyo nyumba tusisikieeree weka pichaaa