Diamond amnunulia mama yake gari la mil.38

Mbwa thamani ya verossa,gariii milion 38 ,hizo pesa si bora wamalizie nyumba zao waishii bila kupangaaa,hapo hamna kitu ni matopee tuuu

Wanatuchekesha tu apa, sasa mama sanura jamani na lexus wapi na wapi?? Mmh kweli ndomo anayeweza yule kijana

Ivi binamu unajua hiyo lexus ambayo inadaiwa ya mama ndomo inafanana na ya mama ubaya ile aliyomnunilia kaka clement? Yan mama ubaya atakuwa ana wivu yeye birthday yake kapewa saa tu na hata vits hajanunilia apa ndomo anawatafutia bifu tu mtu na mkwewe
 
 
Jamani hawajaficha no mbona blog zingine mf Sinta,nuru nk number zinaonekana aliyeleta hii habari ndio kachagua hiyo picha ambayo no hazionekani .

Kwahiyo zingine utepe hamna?
 

Hiyo ni promo tu hawana jipya nyumba wanaish ya kupanga hiyo hela c bora angemjengea maza nyumba,halafu mbona sura zote hapo kma za wacheza vigodoro waliopigwa marufuku
 
 
Hiyo ni promo tu hawana jipya nyumba wanaish ya kupanga hiyo hela c bora angemjengea maza nyumba,halafu mbona sura zote hapo kma za wacheza vigodoro waliopigwa marufuku

Nimeona video yao team kigodor ikiongozwa na mama ubaya wanavyoyarud
 
mmh watu mna wivu wengine hamjawahi kuwanunulia mama zetu hata kitenge cha wax fake lakini mnavyokandia .angalieni WIVU ukizidi mtakuwa wachawi maana mtamchukia mtu halafu anazidi kusonga mbele sasa mtaanza kuangahika kumloga.

Tatizo boss wako muongo sana, katupiga changa la macho kanunua v8 mashauz kibao kumbe kahongwa, inshort ni muongo muongo ndo maana haaminiki, ndo maana hilo gari hatuna imani nalo kama kanunua yeye au ndo la papaa musofe kampa auzie sura

Watu wananunua magar ya mil200 wapo kimya akina kantupeni sisi sasa gari la mil 2 tena la kuhongwa hayo makerere sasa, yani wabongo tupo nyuma kweli, anunue buggat ndo aweke kwenye ma blogs watu tushangae
 

Hii alinunua au aliazima asafishe nyota
 
 
Kuhusu nyumba,mbona alishamjengea mama yake cku nyingi jmn!kuwa na data kabla humjaongea jmn!
 
Big up,,, mama inabidi ndio aanze kula matunda ya mafanikio yako..kuna wengine wameanzisha na kazi siku nyingi hata ile Nusu ya mshahara kumpa mama hawajawahi ila HAWARA atanunuliwa sofa set, gari, nyumba n.k


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu nyumba,mbona alishamjengea mama yake cku nyingi jmn!kuwa na data kabla humjaongea jmn!

Nyumba ip aliyomjengea? Iv inaingia akilin uwe na nyumba halaf upange ?? Ebu tuelezee vizur
 
Picha itafute weye at coz mie nshaiona 2 years back na ilikuwa talk of the town na iko mbezi,yaani alimjengea hata kabla hajaanza kujenga yake @ dinazarde
 
 
Picha ya hiyo nyumba tafadhaliiiii yaaan wanavyoweka kila kitu kwenye media hiyo nyumba tusisikieeree weka pichaaa

Huyo nae anataka kutupandisha mashetani apa, hyo nyumba ambayo cha umbea warumi haijui ameijenga wapi? , maana sisi tunaijua ile nyumba anayojenga toka 2011 hadi leo kama kuna nyingine picha please kabla mashetani hayajanipanda apa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…