Hata kama watu wana T...CRX yeye anamnunulia gari T...CMM huoni hapo kuna kamuchezo
Mi nna T.... CVZ ina miezi sasa hii kamvua mtu walah milion 15Hata kama watu wana T...CRX yeye anamnunulia gari T...CMM huoni hapo kuna kamuchezo
Mi nna T.... CVZ ina miezi sasa hii kamvua mtu walah milion 15
Hata kama watu wana T...CRX yeye anamnunulia gari T...CMM huoni hapo kuna kamuchezo
Kwa hiyo binamu sasa hivi hana mkoko wowote?Na mama ubaya anavyopenda sifa kwa ndomo atasubiri sana na inaonekana jamaa haongi vitu vikubwa zaidi ya hela za nguo
Mi nna T.... CVZ ina miezi sasa hii kamvua mtu walah milion 15
Hiyo hela angenunua nyumba familia yke ikae c kubwelabwela huyu dogo hana hela anavyopenda sifa angenunua nyumba mbezi beach au mikocheni
binamu mimi nasubili tu kufuru ya private jet, kwa kipato cha diamond kumnunulia mama yake gari sioni kufuru maana alishamnunulia gari marehemu gurumo fun cargo. mama yake anastahili zawadi hiyo, atakuwa anakwenda nalo wapi hilo gari?
bado diamond ana tatizo la kuwa na washauri uchwara bila shaka kuna mjanja kalamba commission yake kwenye ununuzi wa hilo gari, hapa nazidi kuona umuhimu wa shule. je mama yake anakabiashara chochote cha kumuingizia kipato hata diamond akifa ghafla mama mtu asitiye aibu kama mama yake kanumba?
Amnunulie kutoka wapi? Mbona tungekoma na hizo timu zao uko insta, hata bajaji hajamnunulia, wema nae anayaweza kuvumilia yote hayo, anachakazwa mtoto wa watu anakuja kudanganywa na perfume za USA
Kuna kipindi nilisikia ndomo anamjengea mama ubaya nyumba ya mil. 100, kipindi kile mama ubaya ndo katoka kuachana na clement, mara tukaambiwa na vifaa vitanunuliwa vipya kutoka china, jaman nilicheka binamu, nyie ndomo ana fix kiama
Ahahahahahahahahha mbavu zangu
Sasa kufuru iko wapi hapo?Anyway,mi naona kama kachelewa nilidhani ashamnunulia[/QUOT
MBONA hilo ni la pili kumnunulia?