warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
-
- #141
simpatii picha babake diamondo now anajutaje huko aliko!! ila ipo siku mzee wa watu atasamehewa na huyu diamond maana kama diamond amefunga mwez mtukufu huu, bas amefunga bure sidhan kama mungu anahesabu mfungo wake.. SAMEHE MARA 70 as god says na yeye amekiuka 100%.. au mnaonaje wakuu? jamaa anafunga au anakaa njaa tu mwezi huu mtukufu?
#Team_Babaake_dimond
Binamu Dinazarde na geniveros Njooni muone uku Team baba Diamond imekuja juu, aiseeh na mimi nimo kwenye team , haiwezekani kabisa ndomo hamuaibishe na kumkana baba yake
Mashabiki roho inatuuma sana, kila siku unanunua mikufu ya mil 200 , Baba yako anaishi maisha ambayo siyo, mi Dinazarde kwa kweli nimejitolea ntaenda kumuoana baba ndomo ntampelekea na mchele na unga, huyu ndomo huyu tutaona mwisho, mi roho inaniuma sana.
Last edited by a moderator: