Diamond amnunulia mama yake gari la mil.38

Diamond amnunulia mama yake gari la mil.38

Huyo nae anataka kutupandisha mashetani apa, hyo nyumba ambayo cha umbea warumi haijui ameijenga wapi? , maana sisi tunaijua ile nyumba anayojenga toka 2011 hadi leo kama kuna nyingine picha please kabla mashetani hayajanipanda apa.

Heeeeeeeee usipandishe binamu ubani hamna wala udiiii shauri yako, nyumba iishe tusijueeee weee
 
Last edited by a moderator:
Gossipcopwarumi,hahaha km hyo gari! Na km uwezo wako mdogo hata pipi! U think nimekosea?no nko right kabisaaaaaaa!wapeni na si kuwafanyia
 
Kuhusu nyumba,mbona alishamjengea mama yake cku nyingi jmn!kuwa na data kabla humjaongea jmn!

Uyo ndio zake ndio anakusanya umbeya kwa dizain iyo...hapo anataka kuanza kuchimbua sasa, mpigie kimya.
 
Gossipcopwarumi,hahaha km hyo gari! Na km uwezo wako mdogo hata pipi! U think nimekosea?no nko right kabisaaaaaaa!wapeni na si kuwafanyia

Sisi tunawafanyia vikubwa kuliko hata ndomo alivyomfanyia mama yake, sema tu ndomo kila kitu kwake anapenda kukitangaza kwenye media
 
Wee na hayumo kwenye hiyo nyumba tenaaa chezeaaaa

Kuna kipindi nilisikia ndomo anamjengea mama ubaya nyumba ya mil. 100, kipindi kile mama ubaya ndo katoka kuachana na clement, mara tukaambiwa na vifaa vitanunuliwa vipya kutoka china, jaman nilicheka binamu, nyie ndomo ana fix kiama
 
Mwenzangu kufur gari la mil 38, wakat hayo magar ni mil 25 , amnunulie wapi na wewe? We ukishaona uwepo wa babu tale na ndomo bas we jua hamna kitu apo, mi sina hamu walichomfanyia marehemu gurumo had leo kadi ya gari hajapata, yani gar atoe ndomo kadi akae nayo ruge, kweli wanatuweza

Kudadadeki......... kama kafanya hivyo kweli misifa ya kijinga
 

Attachments

  • 1404830439470.jpg
    1404830439470.jpg
    63.4 KB · Views: 388
Last edited by a moderator:
Kuna kipindi nilisikia ndomo anamjengea mama ubaya nyumba ya mil. 100, kipindi kile mama ubaya ndo katoka kuachana na clement, mara tukaambiwa na vifaa vitanunuliwa vipya kutoka china, jaman nilicheka binamu, nyie ndomo ana fix kiama

Hivi binamu mama ubaya yeye ameishanunuliwa mkoko?
 
Hivi binamu mama ubaya yeye ameishanunuliwa mkoko?

Amnunulie kutoka wapi? Mbona tungekoma na hizo timu zao uko insta, hata bajaji hajamnunulia, wema nae anayaweza kuvumilia yote hayo, anachakazwa mtoto wa watu anakuja kudanganywa na perfume za USA
 
Hivi ameshamjengea nyumba?? au gari atakuwa anaenda kulipaki kwa Babu Tale/Ruge
Halafu amkabidhi kabisa na documents za gari hizi habari za eti docs anazo babu Tale au Ruge siyo vizuri zikajirudia tena
 
Amnunulie kutoka wapi? Mbona tungekoma na hizo timu zao uko insta, hata bajaji hajamnunulia, wema nae anayaweza kuvumilia yote hayo, anachakazwa mtoto wa watu anakuja kudanganywa na perfume za USA

Kwa hiyo binamu sasa hivi hana mkoko wowote?Na mama ubaya anavyopenda sifa kwa ndomo atasubiri sana na inaonekana jamaa haongi vitu vikubwa zaidi ya hela za nguo
 
Back
Top Bottom