Diamond ampa dj wake, Romy Jones nyumba ya milion 100 kama zawadi ya harusi

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
habari wadau..

naona rais wa WCB mambo ya vyuma vimekaza yeye hayamuhusu.. maana hela anachukua kwa wateja wake waliopo dunia nzima...

zawadi ya harusi ya dj wake mr romy jones ni nyumbaaa....


mama diamond nae kujibu mapigo kamzawadia romy jones kiwanja cha thamani ya milioni 80...

a boy from tandale... anawapenda sana wafanyakazi wake
 
Kila kitu ni mipango, amejipanga kufanya hivyo. Sasa wale wa kujipitisha jipitisheni mtiwe na hamtajengewa ng'ooooo
 
Tuseme tu ukweli dimond ana wapenda sana vijana wake

Wcb wote wana maisha mazur
 
angelipa 5M za malezi za kijana wake... 100M + 80M=? angekuwa anafanya visiting tu kama mama mtoto...
kaka hampendi huyo mwanamke hataki ale hela yake akikua mtoto atampa nyumba siku ya ndoa aishi na mkewe sio yule changu,mfano wewe umpe hamisa m5 unadhani itatumikaje kwa mtoto nyingi itatumika kuvaa nguo na kulipia bando insta kumsema kipenzi chake zarii to hell
 
big up mond!!! jamaa ana roho safi sana, kazi kwako romy tafuta mjengo usiozidi m 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…