habari wadau..
naona rais wa WCB mambo ya vyuma vimekaza yeye hayamuhusu.. maana hela anachukua kwa wateja wake waliopo dunia nzima...
zawadi ya harusi ya dj wake mr romy jones ni nyumbaaa....
mama diamond nae kujibu mapigo kamzawadia romy jones kiwanja cha thamani ya milioni 80...
a boy from tandale... anawapenda sana wafanyakazi wake
naona rais wa WCB mambo ya vyuma vimekaza yeye hayamuhusu.. maana hela anachukua kwa wateja wake waliopo dunia nzima...
zawadi ya harusi ya dj wake mr romy jones ni nyumbaaa....
mama diamond nae kujibu mapigo kamzawadia romy jones kiwanja cha thamani ya milioni 80...
a boy from tandale... anawapenda sana wafanyakazi wake