Diamond amuandalia mwanaye Tiffah birthday ya kukata na shoka itakayofanyika Mlimani City

Diamond amuandalia mwanaye Tiffah birthday ya kukata na shoka itakayofanyika Mlimani City

Chuki itasaidia nini? asingekuwa maarufu angemtafuta huyo baba popote alipo. hiyo ndo balaa ya kuzaa na mswahili. huyo mama ni uchoyo tu unamsumbua anaona akiacha mtoto awasiliane na babake baba atashika kila kitu na yeye atakosa.
Ndio maana anaendelea kumjaza chuki mtoto.

Ishu ni kuwa kwanini hakumtunza Diamond kipindi anaitwa naseeb amemfata kumuomba ada ya shule matokeo yake Dogo anapotozewa hata hela ya pipi kijiti, hivi unahitaji kujazwa chuki kumchukia mtu kama huyu?

Kikubwa zaidi, diamond angekuwa mchinga unafikiri babayake angemtafuta? Kwasababu miaka yoote hiyo hakutambua makosa yake mpaka Naseeb amekuwa Diamond ndio akaanza kujisogeza, wakati kipindi hiko diamond mpiga picha na kuuza mitumba karume bado alikuwa hajatambua makosa yake

Ndio maana Diamond, akasema AMEMSAMEHE ila asitegemee treatment anayopata mama yake na yeye aipate..
 
Mbona hukumtetea mama yake na Diamond wakati wametelekezwa na baba yao, tena wakati huo baba yao alikua na pesa. Huyo baba yao amepanda chuki acha avune chuki. Na kupitia mateso anayopata huyo baba Diamond watu wengi wanajifunza madhara ya kutekeleza watoto, siku Diamond akimsamehe baba yake, wanawake wataendelea kudharaulika katika jamii itaonekana kama hata mwanamke akinyanyaswa vipi mtoto akikua atamtafuta baba yake.
Naked truth....
 
Hivi kama kitu huna experience nacho kaa kimya tu..inaelekea unajua kabisa baadhi ya watoto wakizaliwa nywele zibaanzia kuota kwa juu ila umeamua tu kukashifu kwa chuki zako binafsi
HAYA TUAMBIE KWA MAISHA YALE YA BABAKE NI MATUNZO GANI ALOKOSA HADI NYWELE ZIMEOTA JUU TU??
Unamuelimisha mtu asiyejua maana ya mtoto na wala hajui uchungu wa mtoto ....! Mkuu tunza nguvu zako!
 
Zaa wako apate nywele nzuri. Chuki mpk kwa watoto khaaaaaa nkt
Afadhali umesema mamy yaani binadamu bwana sijui tukoje,Mungu sio mjinga kumuumba hvyo alivyo, by the way huyo mtt mzur acheni mambo ya kukosoa
 
Mbona kama Huddah anatoa mwongozo wanataka ku cash in kwenye birthday ya mtoto wao!
 
Afadhali umesema mamy yaani binadamu bwana sijui tukoje,Mungu sio mjinga kumuumba hvyo alivyo, by the way huyo mtt mzur acheni mambo ya kukosoa
Huyo mtoto kwanza nasikia siyo wa Diamond. Jamaa kasingiziwa tu.
 
Mbona hukumtetea mama yake na Diamond wakati wametelekezwa na baba yao, tena wakati huo baba yao alikua na pesa. Huyo baba yao amepanda chuki acha avune chuki. Na kupitia mateso anayopata huyo baba Diamond watu wengi wanajifunza madhara ya kutekeleza watoto, siku Diamond akimsamehe baba yake, wanawake wataendelea kudharaulika katika jamii itaonekana kama hata mwanamke akinyanyaswa vipi mtoto akikua atamtafuta baba yake.
POINTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.Wanaume waache kutelekeza watoto huku wanakaa pembeni wakivizia, akifanikiwa wanakuja kwa MWENDOKASI hapo angeharibika au angekuwa hohehahe matusi yangeelekezwa kwa mama kuwa hakumtunza nk nk. Muacheni afaidi hela zake na watu anaowataka na aliopata nao shida huyo mzee aende kwa walokula hela yake kumbuka'MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO'
 
Hivi kama kitu huna experience nacho kaa kimya tu..inaelekea unajua kabisa baadhi ya watoto wakizaliwa nywele zibaanzia kuota kwa juu ila umeamua tu kukashifu kwa chuki zako binafsi
HAYA TUAMBIE KWA MAISHA YALE YA BABAKE NI MATUNZO GANI ALOKOSA HADI NYWELE ZIMEOTA JUU TU??
Hivi unajua dalili za Kwashakoo? Kwa taarifa yako nywele za huyo mtoto zina dalili ya Kwashakoo
 
POINTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII.Wanaume waache kutelekeza watoto huku wanakaa pembeni wakivizia, akifanikiwa wanakuja kwa MWENDOKASI hapo angeharibika au angekuwa hohehahe matusi yangeelekezwa kwa mama kuwa hakumtunza nk nk. Muacheni afaidi hela zake na watu anaowataka na aliopata nao shida huyo mzee aende kwa walokula hela yake kumbuka'MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO'
Watu huwa hawajui madhara ya kumtelekeza mtoto na mama yake, mimi nimeona watu wanashindwa kuutunza utu wao kwa ajiri ya watoto wao, mtu anaamua kutembea na wanaume hovyohovyo ilimradi amsomeshe mtoto wake,ugomvi wa baba na mama watoto hauwahusu, watoto wao wanatakiwa wapate malezi bora.
 
Hivi unajua dalili za Kwashakoo? Kwa taarifa yako nywele za huyo mtoto zina dalili ya Kwashakoo
Huyo mtoto hana nywele nyingi n kwashiorkor haina dalili ya nywele kuwa ndogo bali nywele zinakuwa na rust colour na pia mtoto anakuwa hakui
 
Watu huwa hawajui madhara ya kumtelekeza mtoto na mama yake, mimi nimeona watu wanashindwa kuutunza utu wao kwa ajiri ya watoto wao, mtu anaamua kutembea na wanaume hovyohovyo ilimradi amsomeshe mtoto wake,ugomvi wa baba na mama watoto hauwahusu, watoto wao wanatakiwa wapate malezi bora.

Wengine sio kukataa watoto tu, bali kuanzia mimba anatelekeza kitu kinachochangia abortion na vifo vya watoaji mimba kwa kiasi kikubwa...
 
Watu huwa hawajui madhara ya kumtelekeza mtoto na mama yake, mimi nimeona watu wanashindwa kuutunza utu wao kwa ajiri ya watoto wao, mtu anaamua kutembea na wanaume hovyohovyo ilimradi amsomeshe mtoto wake,ugomvi wa baba na mama watoto hauwahusu, watoto wao wanatakiwa wapate malezi bora.
Kusamehe ni muhimu lkn asilazishwe yeye ndie anaejua shida alizopata na mama yake.Huyo baba angekua mtu wa kujirudi angerudi wkt kijana anasota leo anajianika kwenye TV kwa sbb kijana kapata.Wapo wanaume wanafanya haya hat leo inauma acha tu, mie namsapoti huyo mama na mwanae asilimia mia huyo baba hakujua alikua anaudhalilisha mgodi wa dhahabu.akubali kuisoma tu.
 
Back
Top Bottom