Hahahahaha umenichekesha huyo kibao mwenyewe si wa mchikichini kule bondeni hivi ushawahi kufika kule ni kama huko tandale so iyo statement I apply kwa huyo kibao
Facts: nilikua fan kipenzi wa kibao but nimemshusha sana kuona kwa hawezi kurudi bila kujenga bifu na dai
Na kama kweli yeye ni mfalme basi atoke kimataifa aache kuwa "too local"
K haznaga makombo inaoshwa matumiz yanaendlea......
Km ya zari kwan mpya hiyo... Ingekua inasoma kilometa ya zarina ingekuwa inasoma km tren ya mjeruman
Hahahahahaaaa eti Zarinah nini?
Habari hii inamchafua Jokate zaidi kuliko hata Diamond. Huu ndo wakati wa makombo wote kujazana kutoa povu hapa. Makombo roho zinawauma sana maana inaingia ndani ya hisia zao. Ni makombo tu, narudia kama mke au mume umetumika kabla wewe ni makombo tu.
Nashauri unapochangia utoe status yako kuwa wewe ni makombo au la kisha jenga hoja. Ukikaa kimya maana yake ni makombo,tutatathmini hoja yako kwa mtindo wa makombo.
mbona iko wazi hiyo ndg, ataacha kuwa na rambo kuhimili hashim mchezo!!
Nimecheki thread zako mbili tatu naona unatafuta ugonvi na jamii inayokuzunguka? anyway kwa kifupi makombo ndo utamaduni wetu.Habari hii inamchafua Jokate zaidi kuliko hata Diamond. Huu ndo wakati wa makombo wote kujazana kutoa povu hapa. Makombo roho zinawauma sana maana inaingia ndani ya hisia zao. Ni makombo tu, narudia kama mke au mume umetumika kabla wewe ni makombo tu.
Nashauri unapochangia utoe status yako kuwa wewe ni makombo au la kisha jenga hoja. Ukikaa kimya maana yake ni makombo,tutatathmini hoja yako kwa mtindo wa makombo.
Mwenye magazeti ana chuki na Chibu na alijitahidi kumshusha akashindwa. Kuweni makini, anachotaka kufanya ni kutengeneza chuki kati ya Chibu na wanawake. Ndoa zetu siku hizi ni used, kina dada wana date tangu primary hadi chuo kikuu na kina kaka wanaanza Sekondari hadi chuo kikuu.
Wote tunakutana used, makombo ya watu wengine kwa muktadha huo. Lakini tunafumba macho, sitaki hata kujua nani alichapa kabla yangu, mimi nafurahia watoto tu ninaozaa basi. Sote used, used ni makombo ya wengine.
umeonaee huyu uenda ni used third endNimecheki thread zako mbili tatu naona unatafuta ugonvi na jamii inayokuzunguka? anyway kwa kifupi makombo ndo utamaduni wetu.
Kibao😕😕
Typing error
Jokate ni cheap na hajiheshimu sijui ana nyota gani. Kanitoka kujifanya muimba kwaya. Huyo aliye mpakua ni nani .........
Ndio maana sikapendi tena haka kadada!