Diamond amuita Jokate "makombo"

Huyo anakosea kusema makombo hakuna mwanamke makombo mshamba huyo

muulize yeye yule mama mtu mzima ni nani kwakwe??? au yeye kapata fresh pale hahahaha kweli anatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzake wakati yeye ndo kimenganda
 
Almasi yupo juu, watu wengi wanamkubali, ila wachache wanmwonea wivu kwa mafanikio yake, dogo anajituma sana ndo maana kafanikiwa, piga kazi Almasi inayong'aa.
 
Na zari kumbe furesh uswahil tu hana jipya na mama ake sjui mke sjui bib
 
nampenda jokate.ivo ivo alivo, atleast kuna vitu anaweza akani inspire.
Kama kweli anatoka na kiba kila la heri,.
Kama kweli d kasema ivo sishangai.
'you can take a man out of tandale, but u cant take tandale out of him'.

word!!!
 
Nampenda Jokate.Ivo ivo alivo, atleast kuna vitu anaweza akani inspire.
Kama kweli anatoka na Kiba kila la heri,.
Kama kweli D kasema ivo sishangai.
'You can take a man out of Tandale, but u cant take Tandale out of him'.

Kweli kabisa...well said
Wanaotoka shamba kuja mjini wajue kuwa, wanatakiwa kuwacha mashamba na ushamba hukox2. Ila mara nyingi huwa wanayaacha mashamba na kubaki na ushamba wao.
 
We unamjua Zari au unajishaua tu hapa?we umewahi kum..f..uy.cky.zari au mbwembwe tu!?vijisent wewe unavyo alivyonavyo domo!??
Macho huoni basi hata kusikia husikii???huyo ni mama wa watoto watatu ,hayo ni makombo tosha...kingine huko uganda hukujui wewe tuulize sie.ukimtongoza mwanamke wa kiganda akikutalia nenda kaoge maji ya maiti uondoe gundu maana waganda sio maharage ya mbeya bali ni maharage ya kopo(baked beans) yashaiva tayari wewe ni kupasha moto na kula tu....haaahaahaa
 

Hakuna cha Waganda wala nini!!hata humu ndani watu ukiwatongoza wanakukubalia bila hata kukujua!!halafu K inategemeana na maumbile ya mtu!kuna mwingine anaweza kuzaa na bado akawa mkaliii huko down!

Watoto watatu amezaa na mtu mmoja!
 
Dah hivi Jokate asingeuwa mtoto wa diamond si angeitwa mama
 
Kwani jokate ana mdate kiba? Makombo huyajua makombo mengine mbona yeye anatembea na cougar uswahili bana Jokate nilikua namheshimu ila baada ya kumdate nikamuona hamnazo. Hasara za kudate mvulana lazima atangaze kila kitu.
Wewe unadate wazee? Haaahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…