Diamond amuita Jokate "makombo"

Diamond amuita Jokate "makombo"

Ni mwanaume Mshamba tu anaweza kuita mwanamke Makombo ....Huo Ni udhalilishaji ...kwani ma'am Yake alikua makombo kwa wangapi badi akamzaa yeye ? Tuwe fair ...
Wazee wanna msemo ......Haina makombo ......!!!! Kila Siku inakua mpya kwa Yule aliyeipata wakati Huo

Umemaliza kila kitu.
 
Ahhaahaahhaha nifah unakumbk ule uzi jokate alisem kun mtu anampend ila anaogop kusem ukasem ole wake awe nan ako😕:what:

Ndio hivyo namuangalia tu.Nikigundua bado anamfuatilia ndio nitajua cha kumfanya.
 
Nna usd 200 namtaka jokate na pesa ya middlemen nnayo
Anaeweza an pm
 
Vichwa vitatu vimepita ukeni plus ivan, farouk, katunzi, lile babu la nigeria, mimi Danny greeny na wengine total ni kama kumi na tatu hivi plus NDOMO KAMA CHOGO LA UFUDU, yaani heri ya jokate makombo hilo li Zwari ni KIPORO KABISA

roho mbaya pia ni ugonjwa kama magonjwa mengine tu!!
 
Last edited by a moderator:
Huyo Kigari the Kibosy kalady Si Mmama na Anawatoto wawili cjui watatu hao watoto aliwapata kwa Njia gani??...Domo anazngua sasa ---- kwelkwel
 
Nampenda Jokate.Ivo ivo alivo, atleast kuna vitu anaweza akani inspire.
Kama kweli anatoka na Kiba kila la heri,.
Kama kweli D kasema ivo sishangai.
'You can take a man out of Tandale, but u cant take Tandale out of him'.

nimekupenda buree mwaya
 
Hapo anayeshushiwa heshima kwakiwango kikubwa ni mwanamke,kwa akili ya kawida kama huyo dada anamwanaume ataendelea kumheshimu kwa kiwango kilekile kweli......? Hapanaaaa.... kupitia huyo Kidoti wanawake wengine wajifunze kutodetideti na wanaume hovyohovyo....

tatizo sio kidate na wanaume ila ni tatizo kudate na vivulana vilivyozibukia ukubwani...... Hilo ndo tatizo
 
Yaani kiki za siku hizi nikuunganisha *NYUCHI* yaaani chumvi imekuwa ghali kuliko uchi wa binadamu..ila dunia ndio yaishia hvyo.
 
kwahio zari ndo anakaa na wanaume?? ivan, farouk, katunzi na msululu huo wote?? au humjui nini zari??hilo sio rambo ni ziwa victoria kabisa.... daimond anajidanganya makombo ndo yy anaekula haswa., hajawahi kula fresh ni mdandia makombo kwa kwenda mbele na vijisenti vyake .

Kazoea makombo.
 
We unamjua Zari au unajishaua tu hapa?we umewahi kum..f..uy.cky.zari au mbwembwe tu!?vijisent wewe unavyo alivyonavyo domo!??

Yalaaaaa, jamani muishie hapo, Mtoto zari asije jisikia vibaya hati kwa sababu tunataka changanya damu ya idd amin Dada toka uganda na ya Nyerere wa Tanzania
 
Back
Top Bottom