Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

Diamond amvisha pete Zari, ndoa kufungwa tarehe 1 Mei

kwanini sasa anahangaika na revenge/mashindano kama haumii
Dai alienda Ug white part nae akatangaza kwenda kwa Chamelion
kajipenyeza wee kwa ivan, kutokuumia sio kweli hata ungekua ni wewe ungeumia mnoooo

yuko desperate naona anajiliwaza na idrissa
 
Is pregnant au She is Pregnant??

Kweli hii lugha ya malkia ilikuja kwa meli! Amesema Zarina hassani is pregnant we unaona amekosea wapi? Mwalimu wako alikufundisha kuweka noun na pronoun kwakufuatana? Seriously! !??
 
tunashukuru kwa taarifa wacha tuendelee kusubiria huenda kweli yakatimia, ALL THE BEST
 
Hivi kweli watu wanasponsor huo umbea...mhhh Kama simuamini huyu lemutuz

Tamko la celeb ni tofauti na umbea wa wala ndimu.

So huo sio udaku ni habari, tamko etc ambalo sio umbea.
 
Daimond hatoshuka kimziki kirahisi rahisi hadi boringo anaiweza sasa kuna kumshusha huyu
 
kuwe na sheria ukishavisha pete inakua ndoa tayari
 
Maneno kwa picha ya insta yanajieleza
 

Attachments

  • 1428055799379.jpg
    1428055799379.jpg
    62.1 KB · Views: 452
Back
Top Bottom