maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
Mimi Niko Brixton, UKKwani wewe upo wapi kwanza?
Wewe mwenye phd ya ukweli una nin?
UK ya ukonga sio [emoji1]Mimi Niko Brixton, UK
Sasa hapo uongo nin? Chart za BBC amekua namba moja...ulitaka awe wa 5 ndio useme ni kwel?
BBC radio 1 extraBBC Swahili au BBC ipi?
Maliza kukata gogo kwanzaNilikua napitia insta status ya Diamond nikakutana na hiyo kitu, sasa ndio najiuliza hapa anamaanisha ukonga au United Kingdom?
View attachment 1864147
Diamond ana insta og alafu kuna watu wenye njaa nao wana account ya mond, umeikuta accpunt ipiNilikua napitia insta status ya Diamond nikakutana na hiyo kitu, sasa ndio najiuliza hapa anamaanisha ukonga au United Kingdom?
View attachment 1864147
BBC radio 1 extra
Kabla ya kuleta habari chunguza, mfano ukiambiwa Rais kafumaniwa chunguza kwanza Rais gani, manake kuna Rais wa TFF,Chaneta nk.Ahaa, hapo nimeelewa nilijua anamaanisha ni charts za huku
Sema degree ya ushambaNilikua napitia insta status ya Diamond nikakutana na hiyo kitu, sasa ndio najiuliza hapa anamaanisha ukonga au United Kingdom?
View attachment 1864147
Kwa kuwa umeshamchafua kwa kumuhukumu jambo usilolijua, je upo tayari kuwajibika kumsafisha? Ndio maana kunakuwa na sheria za mitandao kwa watu kama nyie.Ahaa, hapo nimeelewa nilijua anamaanisha ni charts za huku
Kwa kuwa umeshamchafua kwa kumuhukumu jambo usilolijua, je upo tayari kuwajibika kumsafisha? Ndio maana kunakuwa na sheria za mitandao kwa watu kama nyie.
Nilishangaa nilipomsikia Barnaba anasema yeye aliacha kufanya mtihani wa form4 ili awahi usahili THT, wakati aliishia standard vii
Wasanii wanaona akiwa mkweli atashusha hadhi yake kimuziki duuuh kweli Elimu inaumuhimu sana