Diamond ana degree ya uongo

Amehichafua mwenyewe, rejea picha ya kwenye thread!
We ukiandikiwa "IYO no.1 now in UK" Unaelewa nini?
Kwa kuwa umeshamchafua kwa kumuhukumu jambo usilolijua, je upo tayari kuwajibika kumsafisha? Ndio maana kunakuwa na sheria za mitandao kwa watu kama nyie.
 
Ndio mana mambo mengi ni kuungaunga,
Nilishangaa nilipomsikia Barnaba anasema yeye aliacha kufanya mtihani wa form4 ili awahi usahili THT, wakati aliishia standard vii

Wasanii wanaona akiwa mkweli atashusha hadhi yake kimuziki duuuh kweli Elimu inaumuhimu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…