Diamond ana degree ya uongo

Diamond ana degree ya uongo

THE LAST KICKS FROM A DYING HORSE...kosa kubwa alilolifanya Mondi kuna wakati muziki wa Naija ulishake badala ya kukaa nao mbali akajifanya rafiki yao...​

Jamaa alipotoa Jeje ikafanya vizur , akatoa waah ikafunika , nikajua atakuja na comeback ya maana , aisee mshikaji Katoa nyimbo za kisenge nafkr tangu aanze mziki....Sio kila aina ya mziki inakufaa , sometyme nyota yako ilipo ni Bora ukashikilia hapo hapo kuliko kutanga tanga .....!!!! Labda Kwa vile anatafta BET
 
Jamaa alipotoa Jeje ikafanya vizur , akatoa waah ikafunika , nikajua atakuja na comeback ya maana , aisee mshikaji Katoa nyimbo za kisenge nafkr tangu aanze mziki....Sio kila aina ya mziki inakufaa , sometyme nyota yako ilipo ni Bora ukashikilia hapo hapo kuliko kutanga tanga .....!!!! Labda Kwa vile anatafta BET
Ukisikiliza "made from Lagos" ya Wizkidayo utajua wanaotafuta BET na Grammy wako serious kiasi gani
 
Back
Top Bottom