Jamaa alipotoa Jeje ikafanya vizur , akatoa waah ikafunika , nikajua atakuja na comeback ya maana , aisee mshikaji Katoa nyimbo za kisenge nafkr tangu aanze mziki....Sio kila aina ya mziki inakufaa , sometyme nyota yako ilipo ni Bora ukashikilia hapo hapo kuliko kutanga tanga .....!!!! Labda Kwa vile anatafta BETTHE LAST KICKS FROM A DYING HORSE...kosa kubwa alilolifanya Mondi kuna wakati muziki wa Naija ulishake badala ya kukaa nao mbali akajifanya rafiki yao...
Ni yakeDiamond ana insta og alafu kuna watu wenye njaa nao wana account ya mond, umeikuta accpunt ipi
Ukerewe UKKwani wewe upo wapi kwanza?
Ukisikiliza "made from Lagos" ya Wizkidayo utajua wanaotafuta BET na Grammy wako serious kiasi ganiJamaa alipotoa Jeje ikafanya vizur , akatoa waah ikafunika , nikajua atakuja na comeback ya maana , aisee mshikaji Katoa nyimbo za kisenge nafkr tangu aanze mziki....Sio kila aina ya mziki inakufaa , sometyme nyota yako ilipo ni Bora ukashikilia hapo hapo kuliko kutanga tanga .....!!!! Labda Kwa vile anatafta BET
Ninukuu nilichoandika, ni charts za Africa according to BBC radio station.UK charts zinasoma hivi, huko UK anakotrend no.1 ni wapi?View attachment 1864382
Kwa masela ukisikia UK ni gereza la Ukonga.Kwetu sisi watu wa kanda ya ziwa maana ya UK ni ukerewe visiwani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Unasikitika mafanikio ya mwenzio??Anyways najaribu kuwafumbua tu macho, nimekutana na hiyo kitu nimeshtuka na kusikitika sana.