EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kuleta habari chunguza, mfano ukiambiwa Rais kafumaniwa chunguza kwanza Rais gani, manake kuna Rais wa TFF,Chaneta nk.
Ulivyo sikia chart ungechunguza chart zipi hizo then ungefungua thread.
Ili kulinda hadhi, halafu jamaa sidhani hata form4 Kama alifika ingawa anajinasibu kuwa alimaliza Elimu ya kidato Cha nne, Mr Nasbu NyangeNdio mana mambo mengi ni kuungaunga,
Ahahahah [emoji1787]mkuu unatafuta ban nyingineMaliza kukata gogo kwanza
Saa huoni ulivyo kurupuka, bora hivyo kwa Diamomd sometimes inaweza tokea kwa watu wanao kuzunguka unaweza ukakiongea kitu kumbe kile ulicho kiongea kikaja kumuumiza mwenzako kihisia kwa kutokuchunguza kwako, sababu ulikiona ukakiongea ila hukua na uhakika.Status ya uanze kuifanyia uchunguzi? Una muda mwingi kiasi gani?
Hahahah😅😅😅Ahahahah [emoji1787]mkuu unatafuta ban nyingine
Saa huoni ulivyo kurupuka, bora hivyo sometimes ktk watu wanao kuzunguka unaweza ukakiongea kitu kumbe kile ulicho kiongea kikaja kumuumiza mwenzako kihisia kwa kutokuchunguza kwako, sababu ulikiona ukakiongea ila hukua na
Soma kichwa chako cha habari ulicho andika.Hakuna aliekurupuka, kuwa no.1 kwenye charts za BBC Swahili na kuwa no.1 kwenye Charts za UK ni vitu viwili tofauti
Ndio uongo wenyewe, kama umeewa kua BBC Swahili charts na UK top Charts ni viwili tofauti, angalia alichoandika huyo mwenye degree yake kwenye statusSoma kichwa chako cha habari ulicho andika.
Tunarudi palepale kwenye comment ya kwanza.Ndio uongo wenyewe, kama umeewa kua BBC Swahili charts na UK top Charts ni viwili tofauti, angalia alichoandika huyo mwenye degree yake kwenye status
Tunarudi palepale kwenye comment ya kwanza.
Mfano nikisema
RAIS KAFUMANIWA, WEWE UNAELEWA NINI?
Basi endelea kuelewa hivyo hivyo.Naelewa rais kafumaniwa. We unaelewa nini
Basi endelea kuelewa hivyo hivyo.
Sijui wasalimie HUKO UK.Kwani we unaelewaje
Sijui wasalimie HUKO UK.
Jamaa kaishia form twoIli kulinda hadhi, halafu jamaa sidhani hata form4 Kama alifika ingawa anajinasibu kuwa alimaliza Elimu ya kidato Cha nne, Mr Nasbu Nyange
Hata kwa hako ka tecno kako unaweza kufuatilia, huyo dogo Sadala ameshavuka hizo levels za kufurahia charts za BBC Swahili.BBC Swahili au BBC ipi?
UK charts zinasoma hivi, huko UK anakotrend no.1 ni wapi?Hata kwa hako ka tecno kako unaweza kufuatilia, huyo dogo Sadala ameshavuka hizo levels za kufurahia charts za BBC Swahili.
Umekuja na thread kabla ya ku verify, no research no rights to speak bro.
Hajadanganya kwani hii kitu nimeiona mwenyewe ila ni charts nadhani za Africa peke yake kwani number 2 ni nyimbo ya Burna Boy.
Ona sasa, Kumbe wanalinda statusJamaa kaishia form two