Diamond ana ugomvi na vyombo vya habari?

Diamond ana ugomvi na vyombo vya habari?

Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo

TAARIFA YA HABARI YOTE HAMNA taarifa Hata Kidogo kuhusu alicho Fanya Diamond?

Hivi kuwapa watu Zaidi Ya Elfu 1 kadi za Bima Mchezo? Hakuna mbunge wala Rais Alie wahi Fanya Hivyo!

Kutoa Boxer Pikipiki 20 ni kitu kidogo?

What went Wrong?

Niliexpect taarifa Ya Habari leo Diamond angetawala lakini vimedia vidogo vidogo ndio vimereport

Duuuu
Kwani lazima? Atalipwa na Mungu na si vyombo vya habari!
 
IPP na CMG hawapigi nyimbo zake,sembuse umuone kwenye taarifa ya habari?
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo

TAARIFA YA HABARI YOTE HAMNA taarifa Hata Kidogo kuhusu alicho Fanya Diamond?

Hivi kuwapa watu Zaidi Ya Elfu 1 kadi za Bima Mchezo? Hakuna mbunge wala Rais Alie wahi Fanya Hivyo!

Kutoa Boxer Pikipiki 20 ni kitu kidogo?

What went Wrong?

Niliexpect taarifa Ya Habari leo Diamond angetawala lakini vimedia vidogo vidogo ndio vimereport

Duuuu
Hujaangalia TBC mkuu.mbona imerushwa??
 
Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo

TAARIFA YA HABARI YOTE HAMNA taarifa Hata Kidogo kuhusu alicho Fanya Diamond?

Hivi kuwapa watu Zaidi Ya Elfu 1 kadi za Bima Mchezo? Hakuna mbunge wala Rais Alie wahi Fanya Hivyo!

Kutoa Boxer Pikipiki 20 ni kitu kidogo?

What went Wrong?

Niliexpect taarifa Ya Habari leo Diamond angetawala lakini vimedia vidogo vidogo ndio vimereport

Duuuu

Kwa akili hizi za kijana km ww nachelea kusema kweli ccm itatawala milele.
 
Wanajua WCB itatangaza. Lakini pia mkuu wa IPP alikuwepo, ITV hawajasema chochote? Wangefanya hivyo kwa ajili ya Boss wao kama tatizo ni Diamond.

Tusubirie kesho magazeti kama na yenyewe yatafuata mkumbo.
Kama nia yake ya dhati ilikua kusaidia watu, hatavunjika moyo kwa kutokutangazwa.
 
Azam ndio media kubwa sas na wameripot hao wengne wadgo
 
Back
Top Bottom