Diamond ana ugomvi na vyombo vya habari?

Diamond ana ugomvi na vyombo vya habari?

wewe umewezaje kuangalia TV zote izo kwa mda mmoja na kugundua hawajatangaza
 
Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo

TAARIFA YA HABARI YOTE HAMNA taarifa Hata Kidogo kuhusu alicho Fanya Diamond?

Hivi kuwapa watu Zaidi Ya Elfu 1 kadi za Bima Mchezo? Hakuna mbunge wala Rais Alie wahi Fanya Hivyo!

Kutoa Boxer Pikipiki 20 ni kitu kidogo?

What went Wrong?

Niliexpect taarifa Ya Habari leo Diamond angetawala lakini vimedia vidogo vidogo ndio vimereport

Duuuu
Uwe unafanya hata research kidogo, usiandike kwa hisia/utashi. TBC wakati wa habari za michezo usiku wa tarehe 05.10.2018 walitangaza.
 
jamani naomba msilaumiane mimi mwenyewe nikiwa kama diamond nilikataa kutangazwa, watu niliowapa msaada watanitangaza inatosha, jililieni nyie na umaskin wenu msinililie mimi.
 
Nampongeza huyu kijana aendelee kuwa na moyo huo. Wapo wengi wana uwezo wa kusaidia watu ila wana mamioyo ya chuma. Kikwetu tunawaita "TUNGE KITALAGAJA LOYA". Mungu akuzidishie Diamond.
 
Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo

TAARIFA YA HABARI YOTE HAMNA taarifa Hata Kidogo kuhusu alicho Fanya Diamond?

Hivi kuwapa watu Zaidi Ya Elfu 1 kadi za Bima Mchezo? Hakuna mbunge wala Rais Alie wahi Fanya Hivyo!

Kutoa Boxer Pikipiki 20 ni kitu kidogo?

What went Wrong?

Niliexpect taarifa Ya Habari leo Diamond angetawala lakini vimedia vidogo vidogo ndio vimereport

Duuuu
Nimeona Azam News habari hii
 
Ali Kiba ashatoa misaada lakini hataki show off kama huyu Mondi
 
Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo

TAARIFA YA HABARI YOTE HAMNA taarifa Hata Kidogo kuhusu alicho Fanya Diamond?

Hivi kuwapa watu Zaidi Ya Elfu 1 kadi za Bima Mchezo? Hakuna mbunge wala Rais Alie wahi Fanya Hivyo!

Kutoa Boxer Pikipiki 20 ni kitu kidogo?

What went Wrong?

Niliexpect taarifa Ya Habari leo Diamond angetawala lakini vimedia vidogo vidogo ndio vimereport

Duuuu
Angekuwa mwanasiasa
Mwanasiasa hata akitoa vyandarua 50
 
Na wewe unaamini kuwa ni pesa zake, hivi unaijua siasa wewe, siku ukigundua kuwa ni namba 1 na Mkuu wa mkoa ndo walitoa hivyo vitu ndo utakapoelewa.
Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo

TAARIFA YA HABARI YOTE HAMNA taarifa Hata Kidogo kuhusu alicho Fanya Diamond?

Hivi kuwapa watu Zaidi Ya Elfu 1 kadi za Bima Mchezo? Hakuna mbunge wala Rais Alie wahi Fanya Hivyo!

Kutoa Boxer Pikipiki 20 ni kitu kidogo?

What went Wrong?

Niliexpect taarifa Ya Habari leo Diamond angetawala lakini vimedia vidogo vidogo ndio vimereport

Duuuu
 
Back
Top Bottom