Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
Baada ya Diamond ahoji Masanja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikariri MkuuMkuu hao Wanigeria wasiojua umiliki wa kiwanda cha Cement cha huyo Tajiri wa Africa labda wale wasiokuwa na mitandao ya kijamii.Especially wale waishio Kwa Mtogole ya Lagos. Ila sio wale wanaofuatilia latest news every time.
Hivi mkuu Dangote unaweza ukamfananisha na huyo Waziri wa Tanzania. Huyu jamaa mali zake zote zinapatikana kwenye mitandao so huwa hamiliki mali kwa uficho kama huyo waziri mwenye hiyo hotel huko Zanzibar. Kwanza akijipambanua ataambiwa fisadi unadhani ni rahisi kihivyo kujua mali za Magufuli kuliko kujua mali za Bill Gates.Usikariri Mkuu
Nakuuliza Swali Dogo tu kwa wewe unaeishi Mjini
a) Nitajie Waziri wa Tanzania ambae anamiliki Hotel kubwa Ya vyumba zaidi ya 100 hapa Zanzibar.
c)La pili,Waziri gani wa Mozambique ambae ana Hotel Hapa Zanzibar
d)Mtoto gani wa Raisi Maarufu EAT anaemiliki Hotel Zanzibar
Hapo inatosha,sasa kama umekariri nipe jibu hata la swali Moja tu wewe wa mjini?
Hahaha,mkuu we acha,yaani aibu tupuRaia Mwema mmemtoa wapi huyo mwandishi mbona aibu hii..!
Album hazilipi si kama zamani nilimsikia master Jay akihojiwa alisema kwa sasa soko la album halilipi, ila watu wanatoa kwa ajili ya kuipa hadhi na heshima mziki wake basi, zinazolipa sana ni tour na ndio maana msanii akitoa album faster tour zinaanza , ila soko album halilipi, labda hizo ring tone, ela inayotokana na airplay basi lkn TOUR ndio mpango mzima. Diamond platnumz mwaka huu amepiga show nyingi alikuwa na tour ulaya na sasa anatour ya Africa, tusiwe na mawazo kila anayefanikiwa ni muuza ngada au freemason kwani hayo ni mawazo ya kimasikini.
Majibu muruaHivi mkuu Dangote unaweza ukamfananisha na huyo Waziri wa Tanzania. Huyu jamaa mali zake zote zinapatikana kwenye mitandao so huwa hamiliki mali kwa uficho kama huyo waziri mwenye hiyo hotel huko Zanzibar. Kwanza akijipambanua ataambiwa fisadi unadhani ni rahisi kihivyo kujua mali za Magufuli kuliko kujua mali za Bill Gates.
Kama unawajua hao viongozi wenye hizo hotel huenda umeyaona hayo majengo na umepata kujua hivyo kipindi cha ujenzi ulisikia tetesi tu kuwa hili ni jengo la mtu fulani ila hakuna media iliyotangaza kama ilivyotangazwa kiwanda cha cement cha Dangote ambacho Africa mashariki na kati wote wanajua kuwa kipi sisemei nchi za mbali ya hapa maana BBC waliripoti kuhusu hiki kiwanda.
Na angekuwa mwandishi mzuri zaidi kama angejiongeza na kufanya uchunguzi akatuletea habari kamili na wala si maswali!Huyu naye ni mwandishi? yani akili yake ameiaminisha msanii kupata hela hadi auze album, huyu ni mwandishi hewa.
Wanaukaribu upi na huyo kinje au kuna uwekezaji wameufanya na huyo jamaa?Si unajua ni mwanamziki wetu nyota pia yuko karibu sana na Kinje.
mwandishi jipu anatakiwa atumbuliweHuyu naye ni mwandishi? yani akili yake ameiaminisha msanii kupata hela hadi auze album, huyu ni mwandishi hewa.
Hiyo siyo habari, bali ni MAKALA (Writer's personal ideas). Mwandishi wa makala si lazima awe na taaluma ya Uandishi wa Habari.Huyu naye ni mwandishi? yani akili yake ameiaminisha msanii kupata hela hadi auze album, huyu ni mwandishi hewa.