Sema huyo Ana Mungu wake wa Mafuvu anampa jeuri, Angekuwa anamuamudu Mungu wetu wa Mbingu na Ardhi sidhani Kama angekuwa anfanya HV, mzazi ni mzazi hata Kama alikosea Kama ameomba msamaha Hana budi kumsamehe na kusonga mbele, Alaf bila aibu ni mfuasi wa MunguMkuu walileta Uzi hapa kwamba katoa mamilion kwa waarabu inamaana alishindwa hata kushughurikia tatizo la mzee wake ukute matibabu hayazidi hata milioni 1
Doooh[emoji134] [emoji134] [emoji134] alaf watu tukiongea masuala ya maana Kama haya et wanasema haterssoon baba yake atakatwa miguu baada ya kuoza yeye aendelee kujisahaulisha.
[emoji1]So Diamond ni muislamu swafi, hivi Zari kamuoa kwa ndoa ya kiislamu?
Sijui siku akipewa taarifa kwamba baba yake amefariki kwa kukosa huduma na matibabu atajisikiaje wakati mitandaoni kila siku yeye na mashabiki zake wanampamba kwamba kijana ni bilionea?Sema huyo Ana Mungu wake wa Mafuvu anampa jeuri, Angekuwa anamuamudu Mungu wetu wa Mbingu na Ardhi sidhani Kama angekuwa anfanya HV, mzazi ni mzazi hata Kama alikosea Kama ameomba msamaha Hana budi kumsamehe na kusonga mbele, Alaf bila aibu ni mfuasi wa Mungu
Diamond ni wa kawaida sana. Sema yeye ni maarufu tu. Kuna vijana wengi wako vizuri kifedha kuliko Mond. Ila hawataki kiki.
Uzi hauja sema ni Tajiri kuliko wote duniani , ume msifia tuu kuwa dogo ana struggle na katoka mbali.Kweli mkuu sema huyu kiki huwa zinamsaidia mfano anapotaka kutoa nyimbo lazima atafatute kiki yangono na warembo wa mjini ili ngoma ifanye vizuri kwa nguvu ya kiki tofauti na vijana wengine wenye mtonyo huwa hawapendi huo upuuzi!
kuna kaukweli hapo ila naona huyo mama nae alichangia kuweka chachu ili daimond amchukie baba yake. unajua wanawake wana vikwazo sana.Baba ni baba, kama yeye alishinda jikoni na mama yale akajazwa maneno akaamua kuingilia ugomvi wa baba na mama atajikuta yeye ndiyo analaumiwa kwa hali mbaya ya baba yake, mama hatolaumiwa kamwe.
muulize mama yake anajua.Hilo hawalioni et anamjua Mungu,anamjua Mungu c akamlipie matibabu babake
wivu tuu mshenzi weweExactly
mtoto wa kiume anapaswa kuwa na akili, ugomvi wa kimapenzi wa baba na mama yasimfanye awe kituko mbele ya jamii.kuna kaukweli hapo ila naona huyo mama nae alichangia kuweka chachu ili daimond amchukie baba yake. unajua wanawake wana vikwazo sana.
huyo mpenzi wa mama yake (baba mond) waliachana kwa chuki ndo maana hasira anayo mama yake hadi leo.
Mzee kwani hujui mapenzi tena au unanichora tuu?
Umemhandle kila*za kistaarabu kweliumaarufu wake ni kwamba alikua anakaa nyumba ya familia sa hvi anaish kwake na umaarufu mwengine kama alivyoeleza mwenye uzi wake hapo juu.... msaada zaid ingia google cheki jina ulilotajiwa then utapata picha mpaka ya mama yake.....
View attachment 397359 Kwanza kabisa alipopata pesa na umaarufu akaanza kufwata na wasanii wa kike wa bongo wengi wao waigizaji, jamaa bila kupoteza mda akawatafuna wote naaminisha akawa akawa na uhisiano wa kimapenzi na wao siku mbili tatu yanaanza tena mahusiano mapya na mwanamke mwingine.
Ukimuuliza ilikuaje mahisiano yaliyopita atakwambia usaliti na sababu nyingine kibao kumbe wapi jamaa mjanja yeye alikua anahakikisha anapitia kila aina ya papuchi auridhishe moyo wake.
Aliwahi kutembea na wema sepetu, kidoti, jackline wolper, hawa, hamisa mobeto, penny na wanawake wengine kibao mtawaweka.
Baada ya kukamilisha ndoto yake akaamua kutumia busara na utashi wa hali ya juu akatafuta mwanamke ambae anajielewa na ni mtu mzima ataweza mpa challenge ili asiharibu na kweli akafanikiwa. Akamchukua zari the boss lady ambae ni mkubwa kwa diamond kwa miaka 9.
Wamezaa mtoto mmoja na pia kuna kijacho.
Huyu ndio naseb abdul bana a.k.a diamond platnum, domo, simba, chibu, sukari ya warembo na majina mengine kibao.
Kiukweli jamaa anafanya mambo yake kwa malengo na ana akili ya maisha na anajua kucheza na akili za watu na mzazingira.
Anajua watu gani wanataka kitu flani na ndio maana kwa asilimia kubwa kazi zake zinauza.
Pamoja na uchapakazi wote huu bila kusahamu mapungufu/madhambi yake (vitendo vya ngono) Daimon platmumz ni muumini mkubwa wa dini, kwenye mahojiano na post zake nyingi huwa anamtaja Mwenyezi-Mungu.
Heshima kwake, kabadilisha mziki wa tanzania na africa kwa ujumla hadi masta kibao kama p square na wengine wengi wamempa sifa kibao.
Pambana diamond ila nakushauri kitu kimoja usimalize pesa zako kwa magari ya kifahari bali wekeza, najua hunywi pombe, wewe ni mgumu hutoi pesa yako hivi hivi na hujiachii kwa malaya sababu ajuza Zari the boss lady kakushika haswa.
Umemjibu,lakini umekosea hayo maneno mawili ya mwishowivu tuu mshenzi wewe
ni akili we utaweza kuwatafuna hao warembo wote hao mkuuKumbe ukitafuna sana nayo akili
Pitia magumu ya kutengwa na mzazi..Baba ni baba, kama yeye alishinda jikoni na mama yale akajazwa maneno akaamua kuingilia ugomvi wa baba na mama atajikuta yeye ndiyo analaumiwa kwa hali mbaya ya baba yake, mama hatolaumiwa kamwe.
ngoja baba yake afe kwa kuoza miguu ndiyo mtaelewa maana ya kutojihusisha kwenye ugomvi wa baba na mama.Pitia magumu ya kutengwa na mzazi..
Acha kumpa sifa za kijinga sema anatafuna wamama walio achika tengua maelezo hapo penye warembo!ni akili we utaweza kuwatafuna hao warembo wote hao mkuu
Saluuuute kw hii mesejimtoto wa kiume anapaswa kuwa na akili, ugomvi wa kimapenzi wa baba na mama yasimfanye awe kituko mbele ya jamii.
Diamond ni wa kawaida sana. Sema yeye ni maarufu tu. Kuna vijana wengi wako vizuri kifedha kuliko Mond. Ila hawataki kiki.
ni kweli na ndo nlichokua nakwambia hapa, mondi anapaswa kuwa kama mwanaume, atambue kuwa mama yake alikua na bicfu na baba yake.mtoto wa kiume anapaswa kuwa na akili, ugomvi wa kimapenzi wa baba na mama yasimfanye awe kituko mbele ya jamii.