Diamond anakosea sana...

Diamond anakosea sana...

Kuna sehemu kasema alikuwa anaona aibu kuwa baba yake halisi muuza mchele ila alikuwa anampenda mzee Abdul sababu alikuwa myamwezi na ana magari, mwisho wa kumnukuu. Sasa mtu wa namna hiyo unamchukuliaje?

Hii sijaisikia kaisema wapi?Unayo link nikaone?
 
Hii sijaisikia kaisema wapi?Unayo link nikaone?
Yes nenda katika youtube mahojiano na the switch aliongea mengi na hili ni moja aliongelea. aliongea kama kusema unajuwa nilikuwa kijana na nilikuwa proud na mzee Abdu alikuwa mnyamwezi sana Kariakoo sasa japo niliambiwa mzee wake ni Nyange lakini sikutaka kuonekana kwa watu baba yako muuza mchele nilikuwa na mkubali sana mzee haya ndio aliyosema nitajaribu kama naweza kupata link
 
Nionavyo huyo Diamond baba yake hajulikani kati ya huyo bwana Abdul na huyo Nyange kwani kwa maneno yake mwenyewe Mama Diamond amesema Bwana Abdul aliikataa mimba na inavyoonekana hata Nyange aliikataa ila baadaye alivyoona mtoto keshakuwa mkubwa akaona amkubali tu huyo mtoto na bwana Abdul kwa upande wake ni hivyo hivyo sema Bwana Abdul alipolikoroga ni pale alipowatelekeza kwa sababu inaonekana mama alikuwa na mahusiano na wote wawili kwa wakati mmoja hivyo akawa hajui mimba ni ya nani haswa hivyo ikabidi ichezwe sadakalawe mwenye kupata apate mwenye kukosa hakose si unaona hata jina alilopewa mtoto (Bahati) NASIBU hiyo "Naseeb"mbwembwe tu isikusumbue.
Hawana hakika baba ni nani hasa. Ndio maana mondi mwenyewe anazungumzia kufanana kama ndio kigezo. Wakati wana nzengo wanasema kafanana na Abdul.

Ila kinachoniudhi ni huyu Abdul kulialia na makanjanja kila siku. Kwa nini asifanye kazi? mambo haya yata ji sort with time. Nguvu bado anazo, tayari anajitabiria kifo! Kwamba afe yeye kwanza na mondi asimzike. Yaani ishu ya msaada kwake ni kufa na kupona!

Akipewa mike na kanjanja ishu ya kwanza ni kupata "sapota" (kama anavyopenda kusema). Kuna wakati alipewa 5m, hajawahi kui sema hata mara moja. Of course, 5m si kitu kwa mondi, ila na yeye Abdul ajifunze ku shukuru alichopata na kujua ha deal na mondi, ana deal na bi Sandra walieshindwana. Huyu mondi hawezi kukua na kufanya maamuzi mbele ya mama yake. Mama anaamua kila kitu mpaka aoe au asioe nk. Kwa hiyo Abdul nae awe na busara.
 
Sisemi haya kwa nia mbaya.....siku zote unapozaa ama kuwa na uhusiano na mwanamke changudoa lazima utapatwa na haya matatizo ya kuzaa mtoto tata kama Diamond. Mwisho wa siku mtoto naye anakuwa anahaha kama mama yake, mara leo yuko na mwanamke huyu kesho yuko na yule huku Mama akichekelea kuwa mtoto kachukua tabia yake kama afanyavyo Mama Diamond.
 
Nimejikuta nashindwa jizuia kuongea chochote..kuhusu Daimond na Baba yake Mzee Abdul..

Kwa maoni yangu kama. Diamond alikuja kugundua Mzee Abdul sio Baba yake ndo
Alipaswa kumheshimu zaidi Kwa Chochote Mzee Abdul alichompa hata kama ilikuwa ni malezi ya siku moja tu..

Diamond alipaswa sasa kumlaumu na kumchukia huyo Baba yake alietajiwa Kwa kutokuwepo wakati wa maisha yake..
Badala yake Diamond naona anajipendekeza Kwa huyo biological father hadi kujiweka karibu mno na huyo mdogo wake wakati maisha yake yote
Amekuwa anamlaumu Mzee Abdul Kwa kuwatelekeza....

Sasa kama unaesema alikutelekeza unagundua sio Baba yako si ndo unapaswa kushukuru hata Kwa madogo aliyoweza kukupa?Kuku sitiri usijione huna baba?Kukupa jina lake? Kumsitiri mama yako?..

Why Mzee Abdul awe kama 'adui'wakati
Alichofanya ni kwend na flow Tu kadri mama yake Diamond alivyotaka?..

Mtoto wa kiume akifika umri wa miaka 25 unatakiwa uwe kiongozi wa mama yako
Hasa kama Mama mwenyewe ana changamoto za malezi..tabia na elimu kama alivyo Mama yake Diamond....

Haya wanayonfanyia Mzee Abdul ni kumuonea mtu anaehitaji msaada Kwa makosa ambayo sio yake..

Kusaidia Hadi strangers huku mtu aliewahi kukupa matunzo hata kama ni ya siku moja anataabika ni kumjaribu Mungu..karma itawaadhibu..
Yatamkuta
 
Kuna ustaadh mmoja alikuwa ananipigia Dua msikiti wa ngamia kule mburahati nikawa napata pesa sana kiukweli hadi nikajenga nyumba mbili ndani ya mwaka mmoja Ila mwanangu na mke wangu wakuwa wamedhoofika sana kiafya kuna kugundua kumbe mali na pesa nazozipata zinaumiza familia yangu nikaamrudia mungu.
Badae nikaambiwa yule ndio mganga mkuu wa diamond.[emoji849][emoji849][emoji849]nilijuta sana aisee hizi mali daaah.
Mchaichai mix tangawise
 
Back
Top Bottom