Diamond anapata wapi kiburi cha kuidharau BASATA na kuimba wimbo uliopigwa marufuku?

Diamond anapata wapi kiburi cha kuidharau BASATA na kuimba wimbo uliopigwa marufuku?

Issue yao ni tofauti hii ilikuwa ni burundi..aliopiga huo wimbo ndio afanyiwe uchunguzi nani kamsambazia kama ni diamond basi sheria ichukue mkondo wake...

Haya mkuu usijichoshe chukua hiyo sheria tuone mkondo wake maana unakaukiwa kuongea as if akiimba watu wanapungukiwa damu
 
Nenda kawaulize team N.S walikuwa wanaucheza pia hyo mziki!
Uliza swali lingine?

Ova
 
Issue yao ni tofauti hii ilikuwa ni burundi..aliopiga huo wimbo ndio afanyiwe uchunguzi nani kamsambazia kama ni diamond basi sheria ichukue mkondo wake...
Sasa wabunge lazima wanaucheza wewe huku unanuna? Kufa tuzike!!
 
Kama inavyofahamika kwamba hivi karibuni baraza la sanaa Tanzania (BASATA) liliufungia wimbo wa "Mwanza" ulioimbwa na mwanamuziki Diamond kutokana na maneno ya matusi aliyoyangiza makusudi kwenye wimbo huo..katika kuufungia wimbo huo BASATA walieleza wazi (kama inavyoonyesha barua ambatanishi) kuwa msanii Diamond hatakiwi kuutumia huo wimbo huo tena kwa vyovyote vile na vyombo vya habari pia vilionywa visiutumie kamwe lakini katika hali ya kushangaza jana usiku akiwa jukwaani nchini Kenya aliuimba huo wimbo...Swali je wapi Diamond anapata kiburi cha kutofuata masharti ya BASATA.. Natumai kwa dharau hizi alizoonyesha BASATA watamfungia si chini ya miezi sita kufanya shoo zake tena waanze kesho...
atajua kuwa hajui
 
Kama inavyofahamika kwamba hivi karibuni baraza la sanaa Tanzania (BASATA) liliufungia wimbo wa "Mwanza" ulioimbwa na mwanamuziki Diamond kutokana na maneno ya matusi aliyoyangiza makusudi kwenye wimbo huo..katika kuufungia wimbo huo BASATA walieleza wazi (kama inavyoonyesha barua ambatanishi) kuwa msanii Diamond hatakiwi kuutumia huo wimbo huo tena kwa vyovyote vile na vyombo vya habari pia vilionywa visiutumie kamwe lakini katika hali ya kushangaza jana usiku akiwa jukwaani nchini Kenya aliuimba huo wimbo...Swali je wapi Diamond anapata kiburi cha kutofuata masharti ya BASATA.. Natumai kwa dharau hizi alizoonyesha BASATA watamfungia si chini ya miezi sita kufanya shoo zake tena waanze kesho...
Asante BASATA kwa kusikia kilimo chetu
 
Back
Top Bottom