Hajasingizia. Niliona clip akiwa na Musonda pamoja na Chama wakiwa airport Zambia; na ile clip ilikuwa ni kabla ya kutangazwa msiba ingawaje ni siku ile ileKasingizia yupo safarini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajasingizia. Niliona clip akiwa na Musonda pamoja na Chama wakiwa airport Zambia; na ile clip ilikuwa ni kabla ya kutangazwa msiba ingawaje ni siku ile ileKasingizia yupo safarini
Akifanya ivo sasa kila msiba uwe live itakuwa Ndio nini?Diamond anashindwa vipi kuweka live safari ya mwisho ya mfanyakazi wake Dida.
Pesa zinatafutwa lakini kuweka ubahili mpaka kwwnye safari ya mwisho ya mfanyakazi wako bora haileti taswira nzuri
Ulitaka ili ufuatilie msiba kwa njia ya tv, au?!Diamond anashindwa vipi kuweka live safari ya mwisho ya mfanyakazi wake Dida.
Pesa zinatafutwa lakini kuweka ubahili mpaka kwwnye safari ya mwisho ya mfanyakazi wako bora haileti taswira nzuri
Hilo sifahamuUmesahau kukamuliwa kinyyessi
Msiba umemkuta akiwa ZimbabweVipi kaonekana msibani maana jamaa ni kama hapatani na kwenda msibani
Wabongo utawaweza mkuuHajasingizia. Niliona clip akiwa na Musonda pamoja na Chama wakiwa airport Zambia; na ile clip ilikuwa ni kabla ya kutangazwa msiba ingawaje ni siku ile ile
🤣🤣🤣Na angerusha live kuna watu wangekuja hapa kusema ameingilia faragha ya familia na kuutumia msiba kupata viewers
Sasa unataka uzikwe na kinyesi chako?Umesahau kukamuliwa kinyyessi
OKMsiba umemkuta akiwa Zimbabwe
Live inasaidia niniDiamond anashindwa vipi kuweka live safari ya mwisho ya mfanyakazi wake Dida.
Pesa zinatafutwa lakini kuweka ubahili mpaka kwwnye safari ya mwisho ya mfanyakazi wako bora haileti taswira nzuri
Sio kweli misiba kuoneshwa sio mbwembwe ni tamaduni za din acha unafiki mbona mengine ya din ya kiislam hawafati?!!!! Wawe wanashinda na kanzu basi coz ndio utamaduni wao huo mengine sio yao kabisaUnaongelea fuba hapo jombaa, si ajabu hata familia ya huyo Dida hawajataka live coverage, si unajua misiba ya kiislam hainaga mbwembwe ni dua na chepe tu.
Huwa unaangalia misiba inayooneshwa??Sio kweli misiba kuoneshwa sio mbwembwe ni tamaduni za din acha unafiki mbona mengine ya din ya kiislam hawafati?!!!! Wawe wanashinda na kanzu basi coz ndio utamaduni wao huo mengine sio yao kabisa
Hapo upo sahihi ila usiite misiba wanayoaga ni mbwembwe sio kweli coz mfano upande wa waislam mimi sio muislam hawaagi misiba yaoHuwa unaangalia misiba inayooneshwa??
Mbwembwe hua ni nyingi, kuaga, risala na watu kadhaa waongee hapo ni kabla marehemu hajapumzishwa na vitu kama hivyo.
Na hao mara nyingi huwa ni viongozi au watu mashuhuli.
Dida hakua na umashuhuli huo, mbwembwe za nini.
kwani marehemu huwa na pengo mdomoni kwenye meno?Huwa nauchukia ule msemo "pengo lako halitazibika'
Ili iweje ?? Ikiwa kive ndio atafufula ??Diamond anashindwa vipi kuweka live safari ya mwisho ya mfanyakazi wake Dida.
Pesa zinatafutwa lakini kuweka ubahili mpaka kwwnye safari ya mwisho ya mfanyakazi wako bora haileti taswira nzuri
Hivi hilo zoezi huwa linamsaidia nini mfu?Sasa unataka uzikwe na kinyesi chako?