Diamond anashindwa vipi Kuweka Live Msiba Wa Dida Live Wasafi?

Hapo upo sahihi ila usiite misiba wanayoaga ni mbwembwe sio kweli coz mfano upande wa waislam mimi sio muislam hawaagi misiba yao
Hawaagi watu wasio mashuhuli ,wengine wanaagwa jombaa Mwinyi si alitembezwa maeneo kibao au unaongelea kuagwa kwa kufunua jeneza(hilo waislam hawafanyi).
 
Kwani wasafi ni ya diamond? Yule jamaa wa mawingu hawezi akakubali swala hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…