Diamond angekua hivi...

Diamond angekua hivi...

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,351
Reaction score
7,639
Ama kweli life is how u make it!

Kuna mtoto wa Mbagala anajiita Diamond Platnumz, hana hata cheti cha ufundi mwashi cha VETA lakini mkwanja anaopiga hata Professor anasubiri!

Najaribu kumuwazia vipi angekua na msingi mzuri wa lugha ya Kingereza, ungekuta kafanya kolabo hata na Chris Brown kwa jinsi anavyojituma huyu dogo, na angeshafanikiwa sana. Labda angekua anaishi kwenye villa, ila ndio hivyo tena Mungu hakupi vyote!

Sema ataikumbuka sana elimu siku akigeuka bubu!

N:B>Sisemi msisome eti wote muimbe!

Wewe na masters yako ya Computer Science hata kiwanja, tena unsurveyed land huna, ndio mnaoishia kumponda Diamond wa watu badala ya ku-utilize elimu uliyoipata kwa maendeleo ya watu na ya kwako binafsi...

Dont hate!
 
Wapeeee waapeeee eeh vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao .....naipenda hii taarabu ya zamani zileee
 
Thread nzuri lakini imeletwa kimbea mbea na vidole juu sana...

Diamond yawezekana ana washauri kiasi ambao wana elimu

au, yeye mwenyewe ana vielement vya kuwa na kipaji maalum katika muziki!

Na awaida mambo huenda hivyo!
Ukikosa huku, unapatia kule kama utaweka bidii zenye ubunifu na kulijua soko lako!
 
Thread nzuri lakini imeletwa kimbea mbea na vidole juu sana...

Diamond yawezekana ana washauri kiasi ambao wana elimu

au, yeye mwenyewe ana vielement vya kuwa na kipaji maalum katika muziki!

Na awaida mambo huenda hivyo!
Ukikosa huku, unapatia kule kama utaweka bidii zenye ubunifu na kulijua soko lako!

Labda umenielewa vibaya mkuu, anyway sahau kuhusu 'namna' ambavyo uzi umeletwa, tuzingatie ujumbe uliomo.
 
Kuna rafiki yangu doctor alinichekesha siku moja eti elimu yangu kubwa mavyeti kibao ukuta mzima maisha yangu duni hata barnaba ananishinda kudadeki! Nikamwambia sasa doctor nawewe unataka kuimba!?

Hahahahahahaa mkuu umenichekesha sana aisee! dah! u have made my day...
 
Sana sana akaze tu english course british council ili apate collabo zaidi ...kuna siku nlimsikia coke studio anamwaga ung'eng'e AMEJITAHIDI SANAA..
 
Ama kweli life is how u make it!

Kuna mtoto wa Mbagala anajiita Diamond Platnumz, hana hata cheti cha ufundi mwashi cha VETA lkn mkwanja anaopiga hata Professor anasubiri!

Najaribu kumuwazia vp angekua na msingi mzuri wa lugha ya Kingereza, ungekuta kafanya kolabo hata na chris brown kwa jinsi anavyojituma huyu dogo, na angeshafanikiwa sana. Labda angekua anaishi kwenye villa, ila ndio hivyo tena Mungu hakupi vyote!

Sema ataikumbuka sana elimu siku akigeuka bubu!

N:B>Sisemi msisome eti wote muimbe!

Ww na masters yako ya Computer Science hata kiwanja, tena unsurveyed land huna, ndio mnaoishia kumponda dAiMonD wa watu badala ya ku-utilize elimu uliyoipata kwa maendeleo ya watu na ya kwako binafsi...

Dont hate!

.
SASA computer science imeingiaje hapo?
.
Use your brain to change you're age buddy
.
 
Maisha siyo shule ila shule inakupa mwanya wakutafuta maisha nakama umepata maisha ukiwa na shule basi unaendeleza maisha kwa ubunifu wa ali ya juu na kitaalamu.
 
Sana sana akaze tu english course british council ili apate collabo zaidi ...kuna siku nlimsikia coke studio anamwaga ung'eng'e AMEJITAHIDI SANAA..

Umeona eeh...haba na haba hujaza kibaba, mdogo mdogo ataki-master tu.
 
.
SASA computer science imeingiaje hapo?
.
Use your brain to change you're age buddy
.

Ukirusha jiwe gizani ukasikia aaah ujue limempata mtu! <just joking>

Mkuu pole na samahani kama na ww umesoma hiyo course, ningeweza kutaja hata Education sema hiyo ndio ilinijia kichwani haraka wkt naandika uzi huu.
 
Labda umenielewa vibaya mkuu, anyway sahau kuhusu 'namna' ambavyo uzi umeletwa, tuzingatie ujumbe uliomo.

kuwa na elimu sio kipimo cha kuwa na pesa.. unaweza kutuambia wapi imeandikwa kwamba ukiwa na elimu ndo kuwa na pesa?

functions kuu za elimu hasa ni zipi?

wangapi wanajua lugha saaana hapa katika music industry bongo lakini bado wapo level ile ile kila siku?

think again and refresh!
 
Hivi mleta mada unafanya rehearsal ya kuimba taarabu au ni nini hiki?
 
kuwa na elimu sio kipimo cha kuwa na pesa.. unaweza kutuambia wapi imeandikwa kwamba ukiwa na elimu ndo kuwa na pesa?

functions kuu za elimu hasa ni zipi?

wangapi wanajua lugha saaana hapa katika music industry bongo lakini bado wapo level ile ile kila siku?

think again and refresh!

Nimekuelewa vzr sana mkuu.

Pamoja na hoja ulizojenga lkn bado mtu mwenye elimu ana advantage kubwa ya kufanikiwa hata kama hana pesa kwa wkt huo, ujue ukiwa na elimu 'life itself is promising something', that 'promise' alone is enough.

Huo upande wa pili wa wasio na elimu lkn wana pesa zitauzungumzia kwa sasa.
 
Jiwe limetupwa gizan ukisikia paa ujue limempata
 
Back
Top Bottom