Diamond anunua Iphone kwa mara ya kwanza

Pro au Pro Max?
 
Hiyo paragraph ya mwisho πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lol! Mbwa wote watakukoma πŸ˜‚πŸ˜‚hujatwambia lakini kanunua ipi maana Iphone 12 ziko za aina mbili minimum na maximum. Nadhani tofauti yake ni hiyo maximum ukubwa wake ni mara moja ya nusu ya minimum pia hiyo max bei yake itakuwa juu.
Wanazengo watanipigia ramli wanifuate wanitoe ngeo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
imeagiza yangu tarehe 13 inaingia mbona mtanikoma mbwa nyie[emoji23]


Dahhhhhhh
Hii jeuri ya kiwango cha lami

Baba....endelea kukaza kamba..bado hawajakoma na jeuri zao
 
Binamuu unatuita umbwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa iyo na yeye atakuwa anaiweka kwenye mfuko wa shati ili macho tatu zichungulie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…