🤣🤣🤣🤣Mods mko wapi? Tumeitwa MBWA huku!
🤣🤣🤣🤣
Sijambo
Shikamoo mkuu Don Clericuzio
Hahahah eti unaitikia kabisa
Nimejua kwako,kumbe leo ni siku ya uhuru....ziko poa,ratiba ni zile zile kama za siku zote
Mie pia niko hivyo sometimesMimi nikiamkiwa hata na anayenizidi naitika tu, sikataagi salamu.
Basi ndo umeshajua leo ni uhuru, fanya namna ya kuuenzi Uhuru.
Mie pia niko hivyo sometimes
Sijui hata nauenzi vipi huo uhuru
Ushindi muhimu leoKwa hiyo tuko sawa kwa swala hilo.
Hapo hata mimi sijui. Nasubiri jioni tu niishangilie Simba ikianza kula viporo vyake.
🤣🤣🤣View attachment 1644665
Hyo hapo , au na size ya uume wake pia unataka kujua?
Ushindi muhimu leo
Hata sisi Liverpool tunajipigia tu wale vibonde leo
mbona mtanikoma mbwa nyie[emoji23]