Diamond anunua Iphone kwa mara ya kwanza

Wanazengo watanipigia ramli wanifuate wanitoe ngeo [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mi ulivomalizia ndo nimechekaaaa.
Dah.
We mtu!!πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Mbona Wiz kid anatumia techo
 
Kutoka Samsung kwenda iphone ni upgrade?

Unaijua Samsung vizuri mkuu?

Alikua hajui kingereza vizuri ndo mana alikua na samsung zina menyu ya kiswahili. Sasa kaelimika ameanza kuongea na SIRI. Upgrade![emoji1531]
 
Kwani iyo iPhone 12 ina ATM?

Inazuia UKIMWI

Au

Ina imarisha nguvu za kiume?

Kama haina hayo mambo ina faida gani Sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…