Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Hahaaaaa kuna watu wana mda mchafu aisee mi nawajua zaidi ya watatu wana I'd tofauti tofauti kuna ya kutukana watu nyingine kusifia pumba.
Nawaangaliaga tu wana mda mchafu kweli.

yaaanniii ..hhhahasasassaaaaaaaaaa....!!
 
Hahahahaaa, hivi wanaweza vipi hayo mambo? Kweli watu wanajiweza!
Yaani niwe na id kibao kwa ajili ya kutusi watu? Huo ni zaidi ya uwendawazimu.

Malimao bure!!
 
Naona kelele za 'kaleni ndimu' zimeisha sasa.

Hahahahaaa jamani eeh, kuna la kujifunza hapa.

Nalo ni: acheni kuwa wakurupukaji na shirikisheni akili zenu walau kidogo tu.

Pia, jaribuni/ jitahidini kusoma vitu na kuvielewa kwanza kabla hamjavitolea maoni.

Manake baadhi ya watu walivyoitafsiri ile caption ya Zari ni sivyo kabisa.

Pia, punguzeni ushabiki hasi wa kutakiana na kuombeana mabaya na kushindwa kwani unawafanya muonekane hamnazo kuliko hata hao mnaowashabikia.
 
WEnye nazo huwa hawapigi kelele wala kufanya show off character ila kina kajamba nani fujo mwanzo mwisho.

Kumbe ndio maana huyu dogo watu makini hawamzimii kabisa inaonekana mpaka leo haamini kama yuko kwenye maisha ya class flani halafu bado hariziki anatamani level za kina Omari Bakhresa?

Ufukara ni mbaya sana unashusha uwezo wa kufikiri kabisa.

Huyu kama anataka kujifananisha na Davido anapotea sana hamuwezi kwa lolote si kimuziki wala chochote mwenzake kazaliwa kwenye familia bora. Hizi mbwembwr nyingine ni ututusa hawa kina Babu inabidi wamfundishe kubehave, kuna level ukifika hutakiwi kufanya ujinga fulani huyu kwa uswahili wake inabidi afundishwe hata namna ya kushika uma wakati wa kula na jinsi ya kushika glasi.
 

Naomba unipe proof kuwa hilo sio gari la Diamond....
 
litafika tu maana leo nimeona wanaweka Tarmac kutokea kwake mpaka barabara kuu!!ahahahhahahahaaaaaaaaa!!diamond noma arifu

Hahaha hahahaha umenichekesha sana.. Tarmac special kwa ajili ya Lambo
 
Safi sana Zari, unaonesha jinsi gani unavyotafuta na kutumia pesa zako, umeonesha jinsi gani kuwa wewe sio golikipa wa kusubiri uletewe...
Wengine wanajua kutumia tu na kwenda kuzichezea bila kuwa na uchungu wa kuzitafuta...

Zari katisha..
 
ahahahahaaha chibu ni shidaaa mkuu!!yaani yamoto band kuiona tu ile gari wakasema ngoja tuitolee shooting mapema kabla haijaja bongo!!
Malimao leo yamefanya kazi kwa haters!!


yaan mim Daimond kaniambia gari ni lake kabisaa
 
gari ni ya diamond kwan hana pesa ya kununuaa,hata kama si lake lakin anauwezo wa kununuaa,
kina mwajuma tupo wengi maana wote tumo humu tumebananaa


Hilo gari mpya bei yake inaanzia pesa ya kitanzania 1,131,599,150
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…