Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Diamond ni mswahili sana(figure of speech) halafu anajua kujipiga promo aisee, hapa usikute ameenda kufanya ile remix ya nyimbo yake nana na akina uhuru kaamua awarushe watu daaah ila jamaa kama ni certifications za attention seeking jamaa ana postgraduate aiseee...mimi namkubali sana huyu jamaa na kura nimeshampigia...
Via Lambourghini Gallardo
Via Lambourghini Gallardo