Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Teh teh teh JF is never boring..
Tuliletewa picha za nyumba ya msanii hapa fensi ya nyumba za kale, garden imepigwa picha nyumba sijui iko Msumbiji huko, Choo cha ndani cha kukaa mguu wa kulia unakosa pa kuuweka (typically ni vyoo vya lodge/hotel), nyumba haijaisha ila inaonesha ina crakes za muda mrefu lakini alitetea ila leo anatukana Watanzania eti hawawezi kureason teh teh teh
Anyway gari si yake maana hata kule mabwepande anakokaa haiwezi kupita..
Tuliletewa picha za nyumba ya msanii hapa fensi ya nyumba za kale, garden imepigwa picha nyumba sijui iko Msumbiji huko, Choo cha ndani cha kukaa mguu wa kulia unakosa pa kuuweka (typically ni vyoo vya lodge/hotel), nyumba haijaisha ila inaonesha ina crakes za muda mrefu lakini alitetea ila leo anatukana Watanzania eti hawawezi kureason teh teh teh
Anyway gari si yake maana hata kule mabwepande anakokaa haiwezi kupita..