Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Official account ya Davido instagram hii hapa kama alivyotuwekea Mrembo by Nature. Sasa mtu kama huoni kuna utofauti kati ya hizo account mbili si ajabu hii?
Hahahahaaa nacheka kama mazuri vile!
hhhhaaaa eti tukitoka tumewakimbia wa kumkimbia nani humu jf bado sijaona aiseee,,,,,
Yaan unanichekeshaaa
Team Changudoa
u r completely wrong....i [gat] got your back means i SUPPORT YOU.
bwahahahahah mie mwenyewe nimestuka sasa sijibu tena maana wananitafutia ban ili nisihamasishee...ntasema hivii..nguruweee pita sina mkukiii mie...lol umenifurahisha saaana mrembo by natureeHdi MTV Mama ziishe sitajibu mtu vibaya. hata aniprovoke vipi ntamwambia tu leo sina mkuki... manake hii kampeni ni nzito. so jamani tuwavumilie ili tuweze kutimiza lengo. muwaambie na wengine
cheki dume zima unavyokenua kama unatafuta bwana jf..em usinitafutie ban pita hiviii.....msalimie mbulula mwenzio anayepiga picha na magari ya watu.. Owo ni coco lem kip on voting kwan sh ngapiii!!!
bwahahahahah mie mwenyewe nimestuka sasa sijibu tena maana wananitafutia ban ili nisihamasishee...ntasema hivii..nguruweee pita sina mkukiii mie...lol umenifurahisha saaana mrembo by naturee
Hdi MTV Mama ziishe sitajibu mtu vibaya. hata aniprovoke vipi ntamwambia tu leo sina mkuki... manake hii kampeni ni nzito. so jamani tuwavumilie ili tuweze kutimiza lengo. muwaambie na wengine
Domo hiyo gari si yake anawarusha roho tu, ni ya rafiki yake wa huko nje, yeye ameuzia sura tu hapo
Unaishi nchi gani mkuu? hapa wanahitajika makayumba tu, au hujamsikia Hossam hapo juu? We jifanye unajua sana kumbe ndo bure kabisa by Kayumba voice..!!
Habari ndo hiyo....
BACK TANGANYIKA
Hahahahaaa, mwenzangu asante kwa kunifumbua macho.Yaani watu wamewehuka hadi unajiuliza tatizo ni nini?
Hakuna kipindi kigumu kwa mashabiki wa domo kama kipindi hiki wanachopitia sasa.
We mama nini mbaya tena?
wapite salama wana malele hao
hhhhhhaaaaa matola anakutafutia ban kaa nae mbali ,,,,,,Mimi nimetoka kujiandikisha nipate kitambulisho chezeyaaa
Yeye alidhani kakosea kwenye your akaweka you ambayo inaleta maana nyingine kabisa.
Kwahiyo kwa mtazamo huo yuko sahihi...na alisema ule ni mtazamo wake tu.
hakuna mbaya mama terry ni kura tu zinawapa kiwewe hawa ndugu zako bwahahahah
Hivi unadhani niliamini? Domo anawaokota haohao mashabiki zake sio sisi bwana...
Huoni walivyoanza kushangilia? Tatizo lao tumeshalijua kwahiyo kila kitu wanakiparamia bila kujiuliza mara mbilimbili.
Tusisahau kumpigia kura Diamond MTV Africa kategori 3 mara ishirini kwa kila moja kila siku. Tuitangaze Tanzania yetu
MAMA 2015
View attachment 260843
Naona vita inaendelea na makamanda wa vikosi vya dai stability yenu kwenye battle platform dhidi ya haters and traitors IPO safi.
By the way am back with all mass weapons of destructions hahahahahah
Nilikua bize na Ku vote.
Count me in.